Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,256
- 2,862
Sasa kwanini yasikae kwao?
Sijajua ila ni yale mtu akiambiwa tokaaaa basi anaanguka chini af akiamka anakuwa mzima.
Oooh kumbe?kwa hiyo unaweza kuyaacha kanisani ukijua umeyafukuza kumbe yanakula good time kukusubiri jumapili inayofuata?yanaingia chumbani kwa mchungaj kusubiri maelekezo ya nani wa kumrukia
An endless WarHuwa yana kwao?kama ndivyo iweje yaje yajazane kwa binadamu hadi kufikia hatua ya kuaibishwa na kudhalilishwa kwa kutimuliwa na watu wa Mungu?je yakishamtoka mtu huwa yanaenda wapi?ama ni kweli kwamba huwa yanajificha kwenye kona za nyumba za ibada na kuwavagaa wengine?na kwanini watu wa Mungu waishie kuwafukuza badala ya kuyakemea,kuyasema na kuyachamba hadi yafe kabisa?
Aisee.Hebu weka picha yao ili tuone namna yalivyo tuweze kuyaangamiza
Taratibu ndugu maana hujui unachokisema. Labda ungeweka baadhiyanaingia chumbani kwa mchungaj kusubiri maelekezo ya nani wa kumrukia
how?
That's why..
Duuh
Kutafuta nyumba kivipi mkuu?kumbe yanaeza kurudi tena?sasa kwanini hao watumishi wasiyaombee yafe kabisa si wana nguvu za roho?kwenda kutafuta nyumba itakayo wapokea. yakikosa hurudi tena sasa kama umeombewa afu bado hujawa tayari kuachana na yote lazima yakurufie tu
hahaha yafe? mk nadhan wanaombea watu ili yatoke jukumu la kufisha kiimani najua unafahamu lipo kwa nani.Kutafuta nyumba kivipi mkuu?kumbe yanaeza kurudi tena?sasa kwanini hao watumishi wasiyaombee yafe kabisa si wana nguvu za roho?
Heeee...na kwanini yanakubali kudhalilika hivyo?yani kweli pepo na degree zake eli linaambiwa back to sender kweli jamani?Yanarudi yalikotoka yaani kama wewe umenitupia mie nikiombewa yanakurudia mwenyewe
Usikiagi ile wanasema back to sender
Huwa yana kwao?kama ndivyo iweje yaje yajazane kwa binadamu hadi kufikia hatua ya kuaibishwa na kudhalilishwa kwa kutimuliwa na watu wa Mungu?je yakishamtoka mtu huwa yanaenda wapi?ama ni kweli kwamba huwa yanajificha kwenye kona za nyumba za ibada na kuwavagaa wengine?na kwanini watu wa Mungu waishie kuwafukuza badala ya kuyakemea,kuyasema na kuyachamba hadi yafe kabisa?