Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 453,977
kweli sijui kuna mtu aliniambia mwenye uwezo wa kifuta post ni mods peke akeNami nasubiri jibu
kweli sijui kuna mtu aliniambia mwenye uwezo wa kifuta post ni mods peke akeNami nasubiri jibu
Hata me najua hivyo,labda kama anaongelea comment hapo sawa.kweli sijui kuna mtu aliniambia mwenye uwezo wa kifuta post ni mods peke ake
Ha ha unakuwa kama una edit alafu unaacha nukta au alama yoyote kwasababu post haiwezi kuwa empty. Mwisho mods wanaifuta baada ya mudaMe mbona sijui kudelete post
hua = huwaHabari wanajamvi?
Eti hua unajisikiaje unapokaa chini halafu unapata tafakuri ukaamua kushare na wanajamvi halafu baada ya masaa kumi unakuta unaREPLY 1 TU.?
Kumbe ni hivyoHa ha unakuwa kama una edit alafu unaacha nukta au alama yoyote kwasababu post haiwezi kuwa empty. Mwisho mods wanaifuta baada ya muda
sio mbaya sana...maana kuna muda unaweza ukapost watu wapo mazini au wapo njiani hivyo post ikawa kama imepotezewa...but hii isikusumbue kichwa kama ni jambo jema uliloliandika litakuja kusaidia wengine...siku za mbeleHabari wanajamvi?
Eti hua unajisikiaje unapokaa chini halafu unapata tafakuri ukaamua kushare na wanajamvi halafu baada ya masaa kumi unakuta unaREPLY 1 TU.?
Miss u more babyBebi usingechangia ngekuskopioni halafu nakumsigwa