Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?
Mjomba unajua kuna watu wanadhani sisi ni wenye uwezo mdogo sana , lakini nakuhakikishia watakuja kutukumbuka .
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?
Hivi na hii ni post inayogiyaji kujadiliwa?
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?

Haya sasa magoli; kwa hiyo kama amehamia Dodoma hapaswi kwenda tena Dar kikazi au mikoa mingine? Kilichohamia ni ofisi yake na makazi yake rasmi; hii haina maana hatokwenda Dar au mikoa mingine kufanya kazi mbalimbali.
 
Haya sasa magoli; kwa hiyo kama amehamia Dodoma hapaswi kwenda tena Dar kikazi au mikoa mingine? Kilichohamia ni ofisi yake na makazi yake rasmi; hii haina maana hatokwenda Dar au mikoa mingine kufanya kazi mbalimbali.
Usijifanyi huelewi.Kaja huko tena kwa ndege ya kukodi na sijiu atarudi kwa ndege gani na fikiria hii ndio iwe trend kwa miaka 4.
 
Huu mkurupuko wa kuhsmia ddm kimwendokasi utawakosti sana. Ona sssa analazimika kusafiri dom-dar mara kwa mara which means budget yake inngezeka msra mbili bila sababu za msingi. Kisa? Amelazimika kutimiza ahadi yake aliyoitoa ya kuhamia fasta! Bila tafakuri. Ddm hakukendki wala hakukaliki!
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?
Unataka kujua ili iweje,au una nia ya kumdhuru waziri wetu mkuu
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?
PM yuko Daaar...kwao Daaar!
 
Haya sasa magoli; kwa hiyo kama amehamia Dodoma hapaswi kwenda tena Dar kikazi au mikoa mingine? Kilichohamia ni ofisi yake na makazi yake rasmi; hii haina maana hatokwenda Dar au mikoa mingine kufanya kazi mbalimbali.
Kaka kila kitu ni DSM mzee huko dom tunalazimisha.wadau walisha sema itakuwa lazima kwenda dsm Mara kwa mara wengine wakabisha
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?
Ukiishajua then....? Jishughulishe acha umbea.
 
Back
Top Bottom