Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
Kama ni mzazi wako au babu yako sema tu tukuelewe.Mmezoea kuishi kwa uongouongo na kuhadaa watu mkidhani mnaongoza watoto wadogo.

Hao wahindi sio ndio walikutwa na begi la hela Dodoma alafu mkawabeba kisa ni watu wenu?Au ndio wewe nini?
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
Hoja hii ni muhimu sana kama unataka kulitendea haki taifa hili, ila kama unataka kutendea haki matamanio yako unaweza kuipuuza! .....................waziri mkuu atakuwa hajarudi Dodoma maana jana ameonekana Dar akiongea na wachina wakajenge makao makuu Dodoma!
 
Huu mkurupuko wa kuhsmia ddm kimwendokasi utawakosti sana. Ona sssa analazimika kusafiri dom-dar mara kwa mara which means budget yake inngezeka msra mbili bila sababu za msingi. Kisa? Amelazimika kutimiza ahadi yake aliyoitoa ya kuhamia fasta! Bila tafakuri. Ddm hakukendki wala hakukaliki!
Hata ningekuwa mimi ningejidai nimehamia aisee , kumbe kuhamia walikomaanisha ni kufika na begi mgongoni , na kuzugazuga siku 3 halafu unajiondokea zako kurudi ulikotoka !
 
Sasa nashuhudia refa akichezesha mpira akiwa nje ya uwanza kwa kupitia tv.
 
We jamaa huwa natafakari nashangaa Sana nashindwa kukuelewa Nia ya maadA zako.. Kama Kuna kipindi ulikuwa unaandika maadA za kumtaka Rais awape pole wahanga WA tetemeko KIUFUPI maadA zako zipo kimbeya mbeya Sana acha leo nikwambie.. Sijui unakuwaga unawaza nini Sasa Kwa mfano unatuuliza sisi kama waziri mkuu kaenda dodoma.. JE KWA MFANO KAMA JIBU NI KUWA NDIO AMESHAREJEA,, MANTIKI YA SWALI LAKO ITAKUWA NI NINI? AU HATA KWA MFANO JIBU LIKAWA HAJARUDI BADO HAINA MAANA. LETE MAADA ZENYE KUSHIBA KAKA.. NAIMANI SIJAKUTUKANA NIMEKUREKEBISHA NAFURAHI UKIBADILIKA
Wewe mtu mjinga sana
 
Back
Top Bottom