Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

e729df202e89dd42016a2e64b3a4bcee.jpg
1476202725200.jpg

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa makampuni ya Azam Bwana Said Salim Bakhresa ambapo alimueleza waziri mkuu nia yake yakuendelea kujenga viwanda zaidi vya kusindika matunda na chakula mazungumzo hayo yamefanyika ofisini kwa waziri mkuu magogoni Dar es salaam leo.
 
e729df202e89dd42016a2e64b3a4bcee.jpg
View attachment 416301
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa makampuni ya Azam Bwana Said Salim Bakhresa ambapo alimueleza waziri mkuu nia yake yakuendelea kujenga viwanda zaidi vya kusindika matunda na chakula mazungumzo hayo yamefanyika ofisini kwa waziri mkuu magogoni Dar es salaam leo.
chezea daresalaam wewe.
 
Dodoma pagumu na lile jua,hawachelewi kukuchoma moto wakikuhofia ni mnyonya damu
 
e729df202e89dd42016a2e64b3a4bcee.jpg
View attachment 416301
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa makampuni ya Azam Bwana Said Salim Bakhresa ambapo alimueleza waziri mkuu nia yake yakuendelea kujenga viwanda zaidi vya kusindika matunda na chakula mazungumzo hayo yamefanyika ofisini kwa waziri mkuu magogoni Dar es salaam leo.
Asante hatimae nimepata majibu.
 
Hivi unadhani mtu kuondoka Dar ni kirahisi rahisi tu?
Kwani yeye hapendi kuona mabinti warembo?
Hapendi kusikia ndege zikipaa angani?
Hapendi pita karibu nabahari kila siku?
 
PM hajitambui wala hawezi kuwa msaidizi wa Rais kwa wadhifa wake maana naamini JPM anamdharau sana kwa maana ya shule yake n brain (IQ)....yeye amewekwa tu pale kama bosheni!! Atulie aje apate kiinua mgongo ale akiwa amestaafu kwa amani! Active politics na kupambana na Magu hawezi heri hata Samia!!! Akiambiwa nenda Dodoma anaenda aiambiwa rudi dar anarudi! Hana strong points ku argue!! Namuonea hurumaaa
 
mawaziri wako dar kiongozi wao yuko dom!??! Ilipaswa ahame na mawaziri wake kwawakati mmoja. Nimuhimu kwa waziri mkuu kuwa karibu na mawaziri na kushuhudia utendaji wao Pia kuweza kuonana Nao ana kwa ana kirahisi.
tusipende kulazimisha long term plan kuwa short term plan...tutachekesha
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.

Hhhhhh... Umeua
 
Eti Dodoma pigweni fiksi Dodoma haiwezekani kienyeji hivyo ni mpango wa miaka mingi vinginevyo wananchi tuamue kula majani kama mbuzi kama viongozi hawatupendi lakini kama wanatupenda kama baba wa taifa alivyokuwa akitupenda huko dom si leo wala kesho BONGO kama kawa
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
Wahindi kimwili wapo Tanzania lakini moyoni wapo India.
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
Wewe mwenyewe utakuwa na sifa hizo za wambea bilashaka,imekuwajekuwaje umeacha kazi wanazofanya vijana wa kiasia ukaja humu kufungua uzi huu wa kimbea ukausoma na kucomment?
 
We jamaa huwa natafakari nashangaa Sana nashindwa kukuelewa Nia ya maadA zako.. Kama Kuna kipindi ulikuwa unaandika maadA za kumtaka Rais awape pole wahanga WA tetemeko KIUFUPI maadA zako zipo kimbeya mbeya Sana acha leo nikwambie.. Sijui unakuwaga unawaza nini Sasa Kwa mfano unatuuliza sisi kama waziri mkuu kaenda dodoma.. JE KWA MFANO KAMA JIBU NI KUWA NDIO AMESHAREJEA,, MANTIKI YA SWALI LAKO ITAKUWA NI NINI? AU HATA KWA MFANO JIBU LIKAWA HAJARUDI BADO HAINA MAANA. LETE MAADA ZENYE KUSHIBA KAKA.. NAIMANI SIJAKUTUKANA NIMEKUREKEBISHA NAFURAHI UKIBADILIKA
Mtu mwenye sifa ya akili kubwa atakuwa amemuelewa mtoa mada vizuri tu ila sidhani wewe kwa swali lako kama utakuwa na hiyo sifa adhimu ya kumuelewa mtoa mada.Nikusaidie japo kidogo unajua kuwa kwa sasa makazi ya Wairi mkuu yako Dodoma?Unajua kuwa Waziri Mkuu alisema kwa sasa anayemuhitaji amfuate Dodoma?Sasa hoja ya mtoa mada imejengwa hapo?
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.

Inahitajika ukapimwe akili mirembe kama sio kuwa admitted kabisa
 
Back
Top Bottom