Vivyo hivyo huwezi kumuona muhindi akijiunga na Jeshi la Wananchi JWTZ ili kuweza kuilinda na kulitumikia Taifa lake ( kama ni kweli hawa ni wenzetu)Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
TeteteteBado yuko Dodoma lazima azunguke vijiji vyote kutambulishwa ili asije akadhaniwa ni mnyonya damu, maana inaonekana wakazi wa huko wote wanafahamiana hawana imani na mgeni.
Ina maana unaongelea mambo ya sea breeze au una maana gani?Dodoma hakuna bahari
Tulikua nae maeneo flani hapa dodoma tulika nyama choma
Hahahahha hii nouma sanaBado yuko Dodoma lazima azunguke vijiji vyote kutambulishwa ili asije akadhaniwa ni mnyonya damu, maana inaonekana wakazi wa huko wote wanafahamiana hawana imani na mgeni.
Kwa hiyo wewe ni kijana wa Kiasia au Kitanzania. Kwa hiyo wewe hujanunua bundle au umepewa bure husije kuwa maskini?Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
Huyo kijana wa Kitanzania mwenye asili ya Asia hana uchungu na nchi. Kwanza wengi wao yakibuma wanauraia wa nchi mbili. Saa ngapi awazie Qaziri Mkuu anendeleaje badala ya kutuibia. Siku hizi ndiyo makanjanja wa kutokutoa EFD receipt. Ukiidai wachungu kama nini.Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.