Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Hivi Waziri Mkuu amesharudi Dodoma?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,190
Reaction score
162,699
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasmi hivi karibuni au bado tuko yuko Dar kwa majukumu mengine?
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
ushawaona wa Asia kwenye misafara ya kampeni?, wabongo lazima waulize maana ndio walio iweka serikali madarakani.....
 
Huwezi kumsikia kijana wa Tanzania mwenye asili ya Asia akiuliza ratiba ya Waziri mkuu. Lakini kijana wa kiswahili atakopa hela anunue bundle ili apige umbea wakati huo huo analalamika maisha magumu. Hapo tunapata jibu kwanini wahindi hawalalimiki maisha magumu licha ya kuwa na uwakilishi mdogo kwenye ajira za serikali, bunge na hata kwenye safu za uongozi. Ukweli utatuweka huru, umbea na ujinga ni hatari.
Pengine ulikuwa na hoja nzuri, lakini kuwatumia watanzania wenye asili ya Asia kujenga hoja yako umeharibu mkuu
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko Dar kwa majukumu mengine?
Swali zuri
 
Kama sikosei, tarehe 7 ya mwezi huu, Waziri Mkuu alikwenda Dar-es-salaam na kama sikose, pia alikuwepo kwenye tukio la Rais kuongea na mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilsha nchi yetu katika mataifa mbalimbali duniani.

Nachoomba kujua ni je ,mh.Waziri Mkuu, amesharejea Dodoma alikohamia rasimi hivi karibuni au bado tuko Dar kwa majukumu mengine?
We jamaa huwa natafakari nashangaa Sana nashindwa kukuelewa Nia ya maadA zako.. Kama Kuna kipindi ulikuwa unaandika maadA za kumtaka Rais awape pole wahanga WA tetemeko KIUFUPI maadA zako zipo kimbeya mbeya Sana acha leo nikwambie.. Sijui unakuwaga unawaza nini Sasa Kwa mfano unatuuliza sisi kama waziri mkuu kaenda dodoma.. JE KWA MFANO KAMA JIBU NI KUWA NDIO AMESHAREJEA,, MANTIKI YA SWALI LAKO ITAKUWA NI NINI? AU HATA KWA MFANO JIBU LIKAWA HAJARUDI BADO HAINA MAANA. LETE MAADA ZENYE KUSHIBA KAKA.. NAIMANI SIJAKUTUKANA NIMEKUREKEBISHA NAFURAHI UKIBADILIKA
 
We jamaa huwa natafakari nashangaa Sana nashindwa kukuelewa Nia ya maadA zako.. Kama Kuna kipindi ulikuwa unaandika maadA za kumtaka Rais awape pole wahanga WA tetemeko KIUFUPI maadA zako zipo kimbeya mbeya Sana acha leo nikwambie.. Sijui unakuwaga unawaza nini Sasa Kwa mfano unatuuliza sisi kama waziri mkuu kaenda dodoma.. JE KWA MFANO KAMA JIBU NI KUWA NDIO AMESHAREJEA,, MANTIKI YA SWALI LAKO ITAKUWA NI NINI? AU HATA KWA MFANO JIBU LIKAWA HAJARUDI BADO HAINA MAANA. LETE MAADA ZENYE KUSHIBA KAKA.. NAIMANI SIJAKUTUKANA NIMEKUREKEBISHA NAFURAHI UKIBADILIKA
Na ifahamike waziri mkuu Ana majukumu mengi. Anaweza asiwe Dom na bado akawa anafanya kazi zake. Kama Kuna kitu unakijua basi kiwasilishe moja Kwa moja na sio unatuuliza maswali ambayo hayaendelezi michango yenye akili.
 
Yuko dar anakula bata hataki kukaa kwa wagogo

Ni vigumu sana kwa PM kufanya kazi akiwa Dodoma bila kuja DSM mara kwa mara. Sehemu kubwa ya mawaziri wako DSM watendaji wengi wa serikali wapo Dar. Rais, Makamu wapo Dar. Ratiba ya kuhamia DSM kama alivyoisoma mwenyewe bungeni ni ndefu sana inaenda mpaka almost mwisho awamu ya tano. Kiuhalisia sisi ile lugha iliyokuwa inatumika wakati ule kujibu waliohoji badget inatoka wapi imeanza kupotea.
 
Back
Top Bottom