Hivi watu wa dar mnafanya kazi saa ngapi?

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Kwa kweli huwa mnanichanganya kila nikija dar likitokea tukio hata kama ni dogo lazima watu wajae mfano hata mtu aanguke na baiskeli watu lazima wakusanyike watu wakigombana kidogo lazima watu wakusanyike tatizo hamna kazi za kufanya au ni umbea cha ajabu ni wanawake na wanaume. Najiuliza hivi mnafanya kazi saa ngapi? Maana matukio ni mengi
 
1/ Na siku ukienda watakuwa wanakusubiri wakushangae.
2. DSM kuna idadi kubwa ya watu si kama "kijijini" kwenu.
 
Dar inahitajika akilinyingi xana na wala swala la kufanya kazi co la muhimu xana,hata ukiokota makopo pesa unapata,ila huku mikoan cjaona waokota machupa
 
Dar inahitajika akilinyingi xana na wala swala la kufanya kazi co la muhimu xana,hata ukiokota makopo pesa unapata,ila huku mikoan cjaona waokota machupa
Kipanya amesema eti tulisomewaga albadir ndiyo maana tunaokota makopo eti.
 
Pamoja na kukimbilia au kukaa kushangalia matukio, bado tunawazidi kwa kipato...!!

Hivyo ni maisha na matukio..
 
Kwa kweli huwa mnanichanganya kila nikija dar likitokea tukio hata kama ni dogo lazima watu wajae mfano hata mtu aanguke na baiskeli watu lazima wakusanyike watu wakigombana kidogo lazima watu wakusanyike tatizo hamna kazi za kufanya au ni umbea cha ajabu ni wanawake na wanaume. Najiuliza hivi mnafanya kazi saa ngapi? Maana matukio ni mengi
Vipi, wewe hubanduki hapa JF, kazi gani wafanya
 
Kwa kweli huwa mnanichanganya kila nikija dar likitokea tukio hata kama ni dogo lazima watu wajae mfano hata mtu aanguke na baiskeli watu lazima wakusanyike watu wakigombana kidogo lazima watu wakusanyike tatizo hamna kazi za kufanya au ni umbea cha ajabu ni wanawake na wanaume. Najiuliza hivi mnafanya kazi saa ngapi? Maana matukio ni mengi
Huku ulifwata nini kama sio umbeya? Rudi shamba kwenu huko
 
Dar inahitajika akilinyingi xana na wala swala la kufanya kazi co la muhimu xana,hata ukiokota makopo pesa unapata,ila huku mikoan cjaona waokota machupa
Mkuu kuokota makopo ni matokeo ya albadili iliyosomwa enzi hizoooooooo
 
Back
Top Bottom