Cha kushangaza ni nini? kwani hujui kuwa Tanzania ilikuwa kwenye kifungo cha mawasiliano kwa muda wote Nyerere aliokuwa madarakani?
Ametujaza ushamba na ujinga hata helikopta ni vitu vya ajabu. Sishangai kuwa helikopta ni vitu vya ajabu, kandambili tu zilikuwa ni vitu vya ajabu nchi nzima mpaka Nyerere alipoondoka.