General mex
Senior Member
- May 1, 2011
- 158
- 185
Mimi binafsi nimeshindwa kuelewa ina maana ni ushamba wetu au ni kukosa habari! Kwani vyombo vya habari sasa badala ya kueleza sera na hoja zinazotolewa na wagombea huko Igunga, imebakia kuelezea kwamba vyama vimeanza kutumia helicopter kwenye kampeni! Mimi binafsi sijaona kama hii ni habari ya kupewa kipaombele kama inavyoripotiwa na vyombo vya habari. Wana jf mtizamo wenu uko vipi? Nawasilisha.