Marehemu Feki wa CCM (CHADEMA) Anamtesa sana Mwenye Marehemu wake

Elice Elly

JF-Expert Member
Dec 9, 2018
1,268
1,593
Mara kwa mara vijana wa CCM waliomwagwa mitandaoni kupiga propaganda kuwa Chadema imekufa inaonekana wazi wanapata tabu sana baada ya kuona malengo yao hayajatimia.

Lengo la CCM ilikuwa ni kuona Chadema imekufa kabla ya 2020, na mpaka sasa kwa kujifurahisha wanawasadikisha wale walio watuma kuwa Chadema imekufa japo wanajua wazi kuwa Chadema ina nguvu sana na IPO imara sana.

Ili kuwafurahisha wale waliowatuma,vijana wa CCM wamekuwa na mikakati nchi nzima kupita kuweka bendera za CCM maeneo ya bara barani na maeneo mengine mbali mbali ili wale walio watuma wakiona bendera nyingi za CCM waamini kuwa Chadema sasa imekufa.Mikakati hii inafanya hasa miji ambayo CCM hawakubaliki.

Lakini baada ya kuona Zoezi la kuiua Chadema ni gumu sana,sasa wameona watumie mbinu mpya japo siyo mpya yaani kumpiga Mchungaji na kondoo watawanyike,kitu ambacho hawatafanikiwa.kuna mbinu hii ya kumchafua M/kiti wa Taifa wa Chadema Mh.Mbowe lakini yote ni katika jitihada za kuiua Chadema. Hili nalo halitafanikiwa kwa sababu Chadema ni chama cha zama Hizi. Ni sawa na kijana wa sasa umlazimishe kuuupenda Muziki wa zamani wakati zama Hizi ni zama za Muziki wa kisasa.

Hivi wanapaswa kutambua kuwa pamoja na nguvu zote wanazotumia ni ngumu kuwabadili vijana wapende msondo ngoma (CCM) wakati wanajua kuna Muziki wa sasa (Chadema): hivi niwasihi kumtesa Mbowe,kumfungulia kesi,kumuharibia Biashara zake,kumtengenezea kashfa mnazo zijua nyinyi hakuwezi kubadili kizazi hiki.

Nashauri tumieni nguvu nyingi kujenga umoja wa kitaifa na siyo kutumia nguvu na gharama Kubwa kwaajili ya kuibakiza CCM madarakani. CCM haiwezi kubaki madarakani kwa gharama ya kuwafunga akina Mbowe, kuharibu Biashara zao,kuwatengenezea kashfa za ajabu ajabu nk.Mtawafanyia hayo yote lakini ni ngumu kukibadili kizazi hiki.
IMG-20200507-WA0026.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa mkuu. Kila mmoja anajaribu kuja na mbinu yake. Wao wanafikiri kuna mtu hivi sasa anahangaika na kashfa zao kwa Mh Mbowe. Wanajali kashfa matusi kejeli badala ya kuhangaika na kero za wanaowaongoza.

Yote haya yatapita na kitakachobaki kwao ni aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi salaaam

Nisiwachoshe niende kwenye mada husika niliyotaka niwafikishie siku ya leo..

Nitawazungumzia watu ambao kwenye siasa tunawaita General Secretary ama kwa kiswahili chepesi "Katibu Mkuu" wa chama.

Kifupi hawa ndio wenye kuendesha chama, hawa ni kiungo muhimu, huyu ndo msiri, mwenye kujua in and out za chama...ana kazi nyingi sipendi niingie uko sana.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimekosa mtu sahihi wa kuwa Engine' ya Chama, mtu mkakati, mtu wa maono, mtu shupavu, mtu mdadisi, mtu mwenye kuhenya na kutolala mpaka kuona chama kinafika sehemu tofauti na alipokikuta,chadema imekosa katibu mkuu anaeshuka mpaka chini kwenye level za matawi na kutoa mafunzo kwa makatibu wa chadema wa kata, wilaya na mikoa...

Na kwa staili hii hata mwenyekiti angekua Yohana wa agano jipya CHADEMA haitokuja ng'oo kushika dola ya nchi hii.
Ukatibu mkuu uliondoka na Dr slaa, hebu wakuu mnakumbuka mshike mshike wa Dr slaa kwa Chama cha Mapinduzi na serikali kwa ujumla?

Dr slaa alikua anakipa uhai sana kile chama, kapambana sana yule mzee kwenye kutoa mafunzo hadi ngazi za chini kabisa za matawi, siku zote yuko ndani ya gwanda zake, daktari kaendesha operesheni za kichama nyingi na nzito , sangara nk, Dr slaa pale mwembe yanga alitaja orodha ndefuu ya watu aliokua anadhani ni mafisadi .

Tunajua kilichotokea, ndugu Aikael akaamua kula hela na kumpitisha mhe Lowasss kinguvu kwenye kamati kuu na hatimae kumfanya awe mgombea urais kwa tiketi yaa chadema wakiwa na kauli mbiu ya mabadiliko...

Dr slaa nampongeza aliona ni ujinga kusimamia kitu alafu anakuja mtu kama mhe mbowe ambae ni mwenyekiti na anajua kanuni na bado anazivunja kwa maslai yake na anaita "kubadilishia gia angani"

Chadema ya Dr slaa ilikua ina nguvu ya hoja, mashiko, ilikua ina nondo za kutosha na chadema ile ilikua imeirekebisha serikali kwa kiasi kikubwa, kongole kwa Dokta slaa aliamua kujiondokea , siku zote aliamini kwenye ajenda yake ya kupambana na ufisadi lakini mwenyekiti akamgeuka.

Hapo ndipo ilikua downfall ya Chadema, engine yao ilianza kuwaka alama nyekundu.

Mwenyekiti wa saccos ya Chadema akaamua mwezi julai 2016 kumleta mtu mpya, Dr Mashinji ambae hakua anajulikana sana kwenye medani za siasa za Tanzania, Kama ilivyo ada ya Mwenyekiti wa Saccos ya Kaskazini akampamba sana Dr mashinji kwamba alikua kwenye timu ya watalaamu wa chadema waliotunga ilani ya chadema 2015.

Dr mashinji akaanza kazi..akaja na mkakati wake mkuu wa kuhakikisha chadema inashika dola na lengo kuu ni "kupeleka chama cha chadema mpaka kwa wananchi wa kawaida".....

Ndani ya mkakati wake huo alikua ana malengo yake mengine madogo madogo kama utekelezaji wa ilani ya chadema kwenye halmashauri wanazoongoza, kupinga rushwa na makundi yanayotaka kumea, katiba mpya na kusimamia mabadiliko ndani na nnje ya chama

Kiukweli dr mashinji hakutumiza lolote kati ya hilo, hata hao wabunge 113 waliopatikana kipindi cha 2015 walikuja tu kwa upepo wa mhe lowassa.

Makundi yanayotaka kumea katika chama, offcourse ndo makundi yaliyomfanya dr mashinji asifanye lolote la maana toka march 2016- dec 2019 kama katibu mkuu wa chadema, alikua kama sanamu lenye baji ya " Katibu Mkuu"

Ni makundi hayo yaliyokua yanataka kumea, yakaja yakamea kwenye kipindi chake, yakawa marefu na yakakiangamiza chama...

Dr mashinji anatoka chadema anasema " kuna watu wanakifanya chadema kama mali yao binafsi (wamehodhi), Dr mashinji anamshauri Mnyika baada ya uteuzi awe makini na huyo anayekifanya chama mali yake binafsi yaani Saccos .


Tunajua pasi na shaka, Dr mashinji hakuwahi kutosha kwenye kuvaaa viatu vya mtangulizi wake na chama kikapoteza mvuto kwa watanzania...

Leo anakuja John Mnyika na vipaumbeke vyake vya kitoto sana, eti Chadema Digitali are you serious?

Mara ooh Tume huru ya uchaguzi...

Mara oooh kuandaa viongozi kabla ya uchaguzi"


Mi naona hiki chama kina tatizo, ukiachia kwamba hiki chama kimepauka, tairi zimewekwa viraka, steringi ya mwaka 1992 (Mwenyekiti) lakini bado ENGINE ni mbovu....yenye afadhali imeshaondoka, ilikua inasimamia maamuzi na kukipa chama uhai...

Nani mwenye msimamo kama Dr slaa akiwa katibu mkuu??alitoka kwenye chama mbele ya Aikael, na kumwambia hii ya kumchomeka mtu kugombea Urais sio ninayoiamini...

Mnyika leo anatuaminisha kwamba Kuandaa viongozi kabla ya uchaguzi mkuu nacho ni kipaumbele?..hivi mnyika unajua Dr slaa aliwaaandaaje viongozi na walikua wamepikika...


Leo Mnyika anatuaminisha Tume ya Taifa ya uchaguzi ina shida...

Ukiuliza wapi kwenye shida anakujibu eti "Matokeo ya Urais hayahojiwi mahakamani" , are you serious??..

Eti Wakuu wa mikoa na wilaya wasisimamie uchaguzi unataka nani asimamie??

Kifupi hakuna kipya hata uko kwenye chadema digital, upuuzi mtupu..maana hata account yenyewe ya instagram ya chadema huyo mwaipaya ndo anajipost 75%, sijui ilikua account yake mwanzoni....???yaani utumbo mtupu.

Hebu nyie ni chama cha demokrasia, hebu katibu mkuh kuwa strong kama dr slaa...mwambie Aikael aindoke kwenye chama angalau atuoneshe demokrasia kwa vitendo, toka 1992 yeye ni mwenyekiti kweli???

Alafu anamzuga lissu kuwa atakua msaidizi wa mwenyekiti......


Kamwe hamtokuja kushika dola kama engine (Katibu mkuu) bado ni mbovu, ...

Kamwe hamtokuja kushika nchi kama hayo makundi yaliyomea wakati wa mashinji yame-mea na kufikia hatua ya kum-meza mashinji na kumtoa knockout.

Hamuwezi kukifikia Chama Cha Mapinduzi kamwe kwenye uongozi uliotukuka.


Leo hii chadema imekufa kiroho, kimwili na kiakili, ki agenda, ki-mkakati...!


Hakuna kitu, amebaki huyo wa bawacha mwenye sauti ya zege anawakoromea kinamama hapo mlimani city.

Wabunge wenu wameahama chama, na wamesema kinachojiri...


Chadema punguzeni Urasimu kwenye ubunge wa viti maaalumu, kwenye mapato na matumizi, kwenys ukanda, !

Hao kina Mwalimu wa zanzibar kila siku mnamuweka awe Naibu katibu mkuu Zanzibar, kijana wa watu anavumilia (MUNGU ANAWAONA),.

Jirekebisheni ndani kwanza ndo mje msimame kupambana na chama la wana, chama cha watanzania, chama kinachongoza Serikali toka uhuru....

Tunajua, mligomea uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi zingine ndogo....

Tunajua pia mnaandaa mkakati wa kuwaaminisha watanzania Tume ya uchaguzi sijui ina kasoro...sijui ina nini....wakati mnajua deeo down kwenye roots hamjafanya maandalizi ya kutosga kushinda.


Mnanitia hasira sana, ngoja niishie hapa.

CCM OYEEEEEEEEEEEE!!!!!!
 
Dah..Kifo cha CDM kilianza pale mkuu alipochukua pesa ya mamvi...na Dr Mihogo ndiyo akaondoka kabisa na roho ya chama
 
Hivi yale aliyosema nape,kinana,makamba,ngeleja nk ni ya kweli? Kwa kukumbusha tu nape alimwita mwenyekiti wake "mshamba" je hata akiomba msamaha mwenyekiti atakuwa sio mshamba? Kinana kaomba msamaha pia je itaondoa ukweli kuwa chama kinaendeshwa kibabe?hapa tatizo sio gia za angani wala nini tatizo ni ukandamizwaji wa demokrasia na haki ya kufanya siasa. Hata mtoto mdogo anajua kuwa kuna watu wengi wameuawa kwa kumkosoa mwenyekiti wa ccm ambae sasa ndie mcha Mungu kuliko hata yesu!!
 
Wanabodi salaaam

Nisiwachoshe niende kwenye mada husika niliyotaka niwafikishie siku ya leo..

Nitawazungumzia watu ambao kwenye siasa tunawaita General Secretary ama kwa kiswahili chepesi "Katibu Mkuu" wa chama.

Kifupi hawa ndio wenye kuendesha chama, hawa ni kiungo muhimu, huyu ndo msiri, mwenye kujua in and out za chama...ana kazi nyingi sipendi niingie uko sana.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimekosa mtu sahihi wa kuwa Engine' ya Chama, mtu mkakati, mtu wa maono, mtu shupavu, mtu mdadisi, mtu mwenye kuhenya na kutolala mpaka kuona chama kinafika sehemu tofauti na alipokikuta,chadema imekosa katibu mkuu anaeshuka mpaka chini kwenye level za matawi na kutoa mafunzo kwa makatibu wa chadema wa kata, wilaya na mikoa...

Na kwa staili hii hata mwenyekiti angekua Yohana wa agano jipya CHADEMA haitokuja ng'oo kushika dola ya nchi hii.
Ukatibu mkuu uliondoka na Dr slaa, hebu wakuu mnakumbuka mshike mshike wa Dr slaa kwa Chama cha Mapinduzi na serikali kwa ujumla?

Dr slaa alikua anakipa uhai sana kile chama, kapambana sana yule mzee kwenye kutoa mafunzo hadi ngazi za chini kabisa za matawi, siku zote yuko ndani ya gwanda zake, daktari kaendesha operesheni za kichama nyingi na nzito , sangara nk, Dr slaa pale mwembe yanga alitaja orodha ndefuu ya watu aliokua anadhani ni mafisadi .

Tunajua kilichotokea, ndugu Aikael akaamua kula hela na kumpitisha mhe Lowasss kinguvu kwenye kamati kuu na hatimae kumfanya awe mgombea urais kwa tiketi yaa chadema wakiwa na kauli mbiu ya mabadiliko...

Dr slaa nampongeza aliona ni ujinga kusimamia kitu alafu anakuja mtu kama mhe mbowe ambae ni mwenyekiti na anajua kanuni na bado anazivunja kwa maslai yake na anaita "kubadilishia gia angani"

Chadema ya Dr slaa ilikua ina nguvu ya hoja, mashiko, ilikua ina nondo za kutosha na chadema ile ilikua imeirekebisha serikali kwa kiasi kikubwa, kongole kwa Dokta slaa aliamua kujiondokea , siku zote aliamini kwenye ajenda yake ya kupambana na ufisadi lakini mwenyekiti akamgeuka.

Hapo ndipo ilikua downfall ya Chadema, engine yao ilianza kuwaka alama nyekundu.

Mwenyekiti wa saccos ya Chadema akaamua mwezi julai 2016 kumleta mtu mpya, Dr Mashinji ambae hakua anajulikana sana kwenye medani za siasa za Tanzania, Kama ilivyo ada ya Mwenyekiti wa Saccos ya Kaskazini akampamba sana Dr mashinji kwamba alikua kwenye timu ya watalaamu wa chadema waliotunga ilani ya chadema 2015.

Dr mashinji akaanza kazi..akaja na mkakati wake mkuu wa kuhakikisha chadema inashika dola na lengo kuu ni "kupeleka chama cha chadema mpaka kwa wananchi wa kawaida".....

Ndani ya mkakati wake huo alikua ana malengo yake mengine madogo madogo kama utekelezaji wa ilani ya chadema kwenye halmashauri wanazoongoza, kupinga rushwa na makundi yanayotaka kumea, katiba mpya na kusimamia mabadiliko ndani na nnje ya chama

Kiukweli dr mashinji hakutumiza lolote kati ya hilo, hata hao wabunge 113 waliopatikana kipindi cha 2015 walikuja tu kwa upepo wa mhe lowassa.

Makundi yanayotaka kumea katika chama, offcourse ndo makundi yaliyomfanya dr mashinji asifanye lolote la maana toka march 2016- dec 2019 kama katibu mkuu wa chadema, alikua kama sanamu lenye baji ya " Katibu Mkuu"

Ni makundi hayo yaliyokua yanataka kumea, yakaja yakamea kwenye kipindi chake, yakawa marefu na yakakiangamiza chama...

Dr mashinji anatoka chadema anasema " kuna watu wanakifanya chadema kama mali yao binafsi (wamehodhi), Dr mashinji anamshauri Mnyika baada ya uteuzi awe makini na huyo anayekifanya chama mali yake binafsi yaani Saccos .


Tunajua pasi na shaka, Dr mashinji hakuwahi kutosha kwenye kuvaaa viatu vya mtangulizi wake na chama kikapoteza mvuto kwa watanzania...

Leo anakuja John Mnyika na vipaumbeke vyake vya kitoto sana, eti Chadema Digitali are you serious?

Mara ooh Tume huru ya uchaguzi...

Mara oooh kuandaa viongozi kabla ya uchaguzi"


Mi naona hiki chama kina tatizo, ukiachia kwamba hiki chama kimepauka, tairi zimewekwa viraka, steringi ya mwaka 1992 (Mwenyekiti) lakini bado ENGINE ni mbovu....yenye afadhali imeshaondoka, ilikua inasimamia maamuzi na kukipa chama uhai...

Nani mwenye msimamo kama Dr slaa akiwa katibu mkuu??alitoka kwenye chama mbele ya Aikael, na kumwambia hii ya kumchomeka mtu kugombea Urais sio ninayoiamini...

Mnyika leo anatuaminisha kwamba Kuandaa viongozi kabla ya uchaguzi mkuu nacho ni kipaumbele?..hivi mnyika unajua Dr slaa aliwaaandaaje viongozi na walikua wamepikika...


Leo Mnyika anatuaminisha Tume ya Taifa ya uchaguzi ina shida...

Ukiuliza wapi kwenye shida anakujibu eti "Matokeo ya Urais hayahojiwi mahakamani" , are you serious??..

Eti Wakuu wa mikoa na wilaya wasisimamie uchaguzi unataka nani asimamie??

Kifupi hakuna kipya hata uko kwenye chadema digital, upuuzi mtupu..maana hata account yenyewe ya instagram ya chadema huyo mwaipaya ndo anajipost 75%, sijui ilikua account yake mwanzoni....???yaani utumbo mtupu.

Hebu nyie ni chama cha demokrasia, hebu katibu mkuh kuwa strong kama dr slaa...mwambie Aikael aindoke kwenye chama angalau atuoneshe demokrasia kwa vitendo, toka 1992 yeye ni mwenyekiti kweli???

Alafu anamzuga lissu kuwa atakua msaidizi wa mwenyekiti......


Kamwe hamtokuja kushika dola kama engine (Katibu mkuu) bado ni mbovu, ...

Kamwe hamtokuja kushika nchi kama hayo makundi yaliyomea wakati wa mashinji yame-mea na kufikia hatua ya kum-meza mashinji na kumtoa knockout.

Hamuwezi kukifikia Chama Cha Mapinduzi kamwe kwenye uongozi uliotukuka.


Leo hii chadema imekufa kiroho, kimwili na kiakili, ki agenda, ki-mkakati...!


Hakuna kitu, amebaki huyo wa bawacha mwenye sauti ya zege anawakoromea kinamama hapo mlimani city.

Wabunge wenu wameahama chama, na wamesema kinachojiri...


Chadema punguzeni Urasimu kwenye ubunge wa viti maaalumu, kwenye mapato na matumizi, kwenys ukanda, !

Hao kina Mwalimu wa zanzibar kila siku mnamuweka awe Naibu katibu mkuu Zanzibar, kijana wa watu anavumilia (MUNGU ANAWAONA),.

Jirekebisheni ndani kwanza ndo mje msimame kupambana na chama la wana, chama cha watanzania, chama kinachongoza Serikali toka uhuru....

Tunajua, mligomea uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi zingine ndogo....

Tunajua pia mnaandaa mkakati wa kuwaaminisha watanzania Tume ya uchaguzi sijui ina kasoro...sijui ina nini....wakati mnajua deeo down kwenye roots hamjafanya maandalizi ya kutosga kushinda.


Mnanitia hasira sana, ngoja niishie hapa.

CCM OYEEEEEEEEEEEE!!!!!!
Upuuzi huu washirikishe wapumbavu wenzako hapo Lumumba
 
Wanabodi salaaam

Nisiwachoshe niende kwenye mada husika niliyotaka niwafikishie siku ya leo..

Nitawazungumzia watu ambao kwenye siasa tunawaita General Secretary ama kwa kiswahili chepesi "Katibu Mkuu" wa chama.

Kifupi hawa ndio wenye kuendesha chama, hawa ni kiungo muhimu, huyu ndo msiri, mwenye kujua in and out za chama...ana kazi nyingi sipendi niingie uko sana.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimekosa mtu sahihi wa kuwa Engine' ya Chama, mtu mkakati, mtu wa maono, mtu shupavu, mtu mdadisi, mtu mwenye kuhenya na kutolala mpaka kuona chama kinafika sehemu tofauti na alipokikuta,chadema imekosa katibu mkuu anaeshuka mpaka chini kwenye level za matawi na kutoa mafunzo kwa makatibu wa chadema wa kata, wilaya na mikoa...

Na kwa staili hii hata mwenyekiti angekua Yohana wa agano jipya CHADEMA haitokuja ng'oo kushika dola ya nchi hii.
Ukatibu mkuu uliondoka na Dr slaa, hebu wakuu mnakumbuka mshike mshike wa Dr slaa kwa Chama cha Mapinduzi na serikali kwa ujumla?

Dr slaa alikua anakipa uhai sana kile chama, kapambana sana yule mzee kwenye kutoa mafunzo hadi ngazi za chini kabisa za matawi, siku zote yuko ndani ya gwanda zake, daktari kaendesha operesheni za kichama nyingi na nzito , sangara nk, Dr slaa pale mwembe yanga alitaja orodha ndefuu ya watu aliokua anadhani ni mafisadi .

Tunajua kilichotokea, ndugu Aikael akaamua kula hela na kumpitisha mhe Lowasss kinguvu kwenye kamati kuu na hatimae kumfanya awe mgombea urais kwa tiketi yaa chadema wakiwa na kauli mbiu ya mabadiliko...

Dr slaa nampongeza aliona ni ujinga kusimamia kitu alafu anakuja mtu kama mhe mbowe ambae ni mwenyekiti na anajua kanuni na bado anazivunja kwa maslai yake na anaita "kubadilishia gia angani"

Chadema ya Dr slaa ilikua ina nguvu ya hoja, mashiko, ilikua ina nondo za kutosha na chadema ile ilikua imeirekebisha serikali kwa kiasi kikubwa, kongole kwa Dokta slaa aliamua kujiondokea , siku zote aliamini kwenye ajenda yake ya kupambana na ufisadi lakini mwenyekiti akamgeuka.

Hapo ndipo ilikua downfall ya Chadema, engine yao ilianza kuwaka alama nyekundu.

Mwenyekiti wa saccos ya Chadema akaamua mwezi julai 2016 kumleta mtu mpya, Dr Mashinji ambae hakua anajulikana sana kwenye medani za siasa za Tanzania, Kama ilivyo ada ya Mwenyekiti wa Saccos ya Kaskazini akampamba sana Dr mashinji kwamba alikua kwenye timu ya watalaamu wa chadema waliotunga ilani ya chadema 2015.

Dr mashinji akaanza kazi..akaja na mkakati wake mkuu wa kuhakikisha chadema inashika dola na lengo kuu ni "kupeleka chama cha chadema mpaka kwa wananchi wa kawaida".....

Ndani ya mkakati wake huo alikua ana malengo yake mengine madogo madogo kama utekelezaji wa ilani ya chadema kwenye halmashauri wanazoongoza, kupinga rushwa na makundi yanayotaka kumea, katiba mpya na kusimamia mabadiliko ndani na nnje ya chama

Kiukweli dr mashinji hakutumiza lolote kati ya hilo, hata hao wabunge 113 waliopatikana kipindi cha 2015 walikuja tu kwa upepo wa mhe lowassa.

Makundi yanayotaka kumea katika chama, offcourse ndo makundi yaliyomfanya dr mashinji asifanye lolote la maana toka march 2016- dec 2019 kama katibu mkuu wa chadema, alikua kama sanamu lenye baji ya " Katibu Mkuu"

Ni makundi hayo yaliyokua yanataka kumea, yakaja yakamea kwenye kipindi chake, yakawa marefu na yakakiangamiza chama...

Dr mashinji anatoka chadema anasema " kuna watu wanakifanya chadema kama mali yao binafsi (wamehodhi), Dr mashinji anamshauri Mnyika baada ya uteuzi awe makini na huyo anayekifanya chama mali yake binafsi yaani Saccos .


Tunajua pasi na shaka, Dr mashinji hakuwahi kutosha kwenye kuvaaa viatu vya mtangulizi wake na chama kikapoteza mvuto kwa watanzania...

Leo anakuja John Mnyika na vipaumbeke vyake vya kitoto sana, eti Chadema Digitali are you serious?

Mara ooh Tume huru ya uchaguzi...

Mara oooh kuandaa viongozi kabla ya uchaguzi"


Mi naona hiki chama kina tatizo, ukiachia kwamba hiki chama kimepauka, tairi zimewekwa viraka, steringi ya mwaka 1992 (Mwenyekiti) lakini bado ENGINE ni mbovu....yenye afadhali imeshaondoka, ilikua inasimamia maamuzi na kukipa chama uhai...

Nani mwenye msimamo kama Dr slaa akiwa katibu mkuu??alitoka kwenye chama mbele ya Aikael, na kumwambia hii ya kumchomeka mtu kugombea Urais sio ninayoiamini...

Mnyika leo anatuaminisha kwamba Kuandaa viongozi kabla ya uchaguzi mkuu nacho ni kipaumbele?..hivi mnyika unajua Dr slaa aliwaaandaaje viongozi na walikua wamepikika...


Leo Mnyika anatuaminisha Tume ya Taifa ya uchaguzi ina shida...

Ukiuliza wapi kwenye shida anakujibu eti "Matokeo ya Urais hayahojiwi mahakamani" , are you serious??..

Eti Wakuu wa mikoa na wilaya wasisimamie uchaguzi unataka nani asimamie??

Kifupi hakuna kipya hata uko kwenye chadema digital, upuuzi mtupu..maana hata account yenyewe ya instagram ya chadema huyo mwaipaya ndo anajipost 75%, sijui ilikua account yake mwanzoni....???yaani utumbo mtupu.

Hebu nyie ni chama cha demokrasia, hebu katibu mkuh kuwa strong kama dr slaa...mwambie Aikael aindoke kwenye chama angalau atuoneshe demokrasia kwa vitendo, toka 1992 yeye ni mwenyekiti kweli???

Alafu anamzuga lissu kuwa atakua msaidizi wa mwenyekiti......


Kamwe hamtokuja kushika dola kama engine (Katibu mkuu) bado ni mbovu, ...

Kamwe hamtokuja kushika nchi kama hayo makundi yaliyomea wakati wa mashinji yame-mea na kufikia hatua ya kum-meza mashinji na kumtoa knockout.

Hamuwezi kukifikia Chama Cha Mapinduzi kamwe kwenye uongozi uliotukuka.


Leo hii chadema imekufa kiroho, kimwili na kiakili, ki agenda, ki-mkakati...!


Hakuna kitu, amebaki huyo wa bawacha mwenye sauti ya zege anawakoromea kinamama hapo mlimani city.

Wabunge wenu wameahama chama, na wamesema kinachojiri...


Chadema punguzeni Urasimu kwenye ubunge wa viti maaalumu, kwenye mapato na matumizi, kwenys ukanda, !

Hao kina Mwalimu wa zanzibar kila siku mnamuweka awe Naibu katibu mkuu Zanzibar, kijana wa watu anavumilia (MUNGU ANAWAONA),.

Jirekebisheni ndani kwanza ndo mje msimame kupambana na chama la wana, chama cha watanzania, chama kinachongoza Serikali toka uhuru....

Tunajua, mligomea uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi zingine ndogo....

Tunajua pia mnaandaa mkakati wa kuwaaminisha watanzania Tume ya uchaguzi sijui ina kasoro...sijui ina nini....wakati mnajua deeo down kwenye roots hamjafanya maandalizi ya kutosga kushinda.


Mnanitia hasira sana, ngoja niishie hapa.

CCM OYEEEEEEEEEEEE!!!!!!
Wewe utakuwa Lumumba buku saba
 
Back
Top Bottom