kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,458
- 12,555
Wakuu,Kuna binti mmoja mwimba kwaya wa haya makanisa ya kilokole naona anajilengesha kwangu, sasa nataka nisipoteze muda wangu, nafikiria kumuomba mchezo but wasiwasi wangu asije akaanza kuleta story za mistari ya biblia.
So naomba kujua kama hawa waimba kwaya huwa wanagongeka na watu wa kawaida kama sisi tusiosali sana?
So naomba kujua kama hawa waimba kwaya huwa wanagongeka na watu wa kawaida kama sisi tusiosali sana?