hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 829
- 328
Hakuna wanachowaza zaidi ya kutuibia pesa zetu
Nmeelewa kaka samahaniMe nimekuwa dada!!! Haya bhana
Mkuu unanana eeehzamani nilikuwa nawaza harusi yangu na yeye ,game itakavokuwa etc
siku hizi sitongozeki naona anapiga tu tararira isiyo na msingi .namuona kibaka wa papuchi asie na maana
Mzoefu wa nini?wee inaelekea ni mzoefu sana
Huwa mnawaza Na atakaye gharamia?hata mimi nilikuwa nawazaga hivohivo
Ninawaza utakavyotokelezea ile siku ya ndoa ndani ya suit yako, honeymoon takwenda wapi na idadi ya watoto tukaozaa.
Umenukuu vibaya.unakula hela za wanawake?
Bado ninawaza hayo na vikibuma ninaumia kweli, ndiyo maana nimeacha kujibu PM za watu.
I'm tired of being a looser, I have now officially been retired.You can't score the winning basket if you don't shoot. Just thinking aloud
I'm tired of being a looser, I have now officially been retired.
Kutongozwa ni tofauti na kuchumbiwa, lengo la kutongoza/kutongozwa au "seduction" kwa kimombo ni kufanya ngono tuNinawaza utakavyotokelezea ile siku ya ndoa ndani ya suit yako, honeymoon takwenda wapi na idadi ya watoto tukaozaa.
Mkuu my retiring time passed a while ago, I was on a extended contract period which with due respect ended without success.I am very sorry to hear about this ES. You're a very good person and you have so much to offer. It is too early to retire.
Kutongozwa si ndiyo mwanzo wa kuchumbiwa?Kutongozwa ni tofauti na kuchumbiwa, lengo la kutongoza/kutongozwa au "seduction" kwa kimombo ni kufanya ngono tu
Mkuu my retiring time passed a while ago, I was on a extended contract period which with due respect ended without success.
Sio kweli, hebu tafuta maana ya verb seduce kwenye kamusi uone ilivyo tofauti na kuchumbiwa.Kutongozwa si ndiyo mwanzo wa kuchumbiwa?
I can only sign this new contract if it is to spend the rest of my life in a Coventry.Maybe you're due for a new contract.
mmmmh labda ungesema huwa wanawaza nini wanaporushiwa hela, maana siku hizi unarusha 50,000 na jina la guest na chumba ulichopo,baada ya dk 5 unasikia honi ya bodabodaKwa kawaida yangu mimi binafsi ninapomtongoza mwanamke huwa nakuwa nawaza jinsi nitakavyogegeda endapo atakubali. Nawaza mastyle nitakayokuwa namuweka nikiwa namgegeda na hii nadhani ni fikra za kila mwanaume na ndio maana mwanaume mwingine huwa mwamvuli unakunjuka anapokuwa anatongoza.
Sasa najiuliza swali, hawa wanawake wao wanawaza kitu gani hasa kwa mara ya kwanza anapotongozwa? Eti nyie wadada wa humu MMU huwa mnawaza nini kwa mara ya kwanza mwanaume anapokutongoza? Yaani huwa ni kitu gani hasa mnachofikiria kichwani endapo una lengo la kumkubali huyo mwanaume?
Yaani unawaza nini hasahasa? Msaada wenu ili na sisi tujue.
HahahahNikitongozwa hua nawaza kua huyu mwanaume anawaza kunila tu!