AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
watu wanaangalia mkwanja sio umriRais Zuma, miaka 70, ametangazwa kuoa mke wa 4. Hii ni ndoa ya 6 kwa Zuma, mke mmoja alifariki kwa kujinyonga na mwingine walitengana, hivyo Zuma atakuwa na wake 4 baada ya kuongeza huyu wa sasa ambaye kwa umri ni mdogo au sawa na watoto wa Zuma.
Nawauliza enyi wanawake, hivi mna matatizo gani? Binti hujafika miaka 40 unaenda kuolewa na mzee ambaye anamaliza maisha yake kesho, ni akili gani?
Wanawake, mna matatizo gani? Ni kutafuta umaarufu? Mnatafuta maisha rahisi (ready made)?