Kwa post kama hizi, kazi ya u - mod mimi siiwezi. Wengi wataishia kula ban
aiseeeeee! kama ni hivyo mshakaji wangu mmoko atakuwa alifika kileleni within seconds, coz hubby alikuwa hukoooooooooooo! aseeeee :spy:
Kilele cha mlima gani tena?
Bingwa wa Rivasi!
njoo Narok pub nina nanii zako 3.....kwani nini bana....w/end ya mwanzo wa mwezi hii ujue.....
:yawn: napita nasubiri muda wa kufturu ufike....
it's not kilima as such it's the highest point of pleasure during sex upo Watu8
Ngoja nipate ujanja hapa maana niko mbali na waifu mwaka sasa