Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Nimekua na tatizo hili lakupenda kufanya mapenzi kupita kiasi.Yaan mi hata tulale tunachakatana sawa tu.
shida ni kua nikikaa muda bila kufanya mapenzi kuanzia miezi miwili Nahisi kichwa kinataka kuchanganyikiwa .Ni kama vile GeNye zinapanda kichwani sielewi sieleweki siaminiki sishikiki
mfano:
Nilikua na mipango yangu mizuri ya kumalizia nyumba (chumba) kwa ajili ya wapangaji maana kuna kahela nimekapata sasa bana “ kuna mizigo nilikua nachati nayo iko dar Si ghafla nikajikuta nimepanda gar kuifuata (kumbuka niko mkoani na nauli ni 100k)
Hela zimeisha nimekula nakuchakataa haswaa sasa akili timamu imenirudia,,, najutaaa nimetumia 600k…..Nawaza ningevuta hata umeme tu kwa 400k.
Hii si mara moja ishatokea mara kibao nikishakua na kichupa aisee Hata sh ngap nachoma, kichwa kinakua kama chizi
Nauliza kwa wanaume ni kawaida au mi ni mgonjwa??
shida ni kua nikikaa muda bila kufanya mapenzi kuanzia miezi miwili Nahisi kichwa kinataka kuchanganyikiwa .Ni kama vile GeNye zinapanda kichwani sielewi sieleweki siaminiki sishikiki
mfano:
Nilikua na mipango yangu mizuri ya kumalizia nyumba (chumba) kwa ajili ya wapangaji maana kuna kahela nimekapata sasa bana “ kuna mizigo nilikua nachati nayo iko dar Si ghafla nikajikuta nimepanda gar kuifuata (kumbuka niko mkoani na nauli ni 100k)
Hela zimeisha nimekula nakuchakataa haswaa sasa akili timamu imenirudia,,, najutaaa nimetumia 600k…..Nawaza ningevuta hata umeme tu kwa 400k.
Hii si mara moja ishatokea mara kibao nikishakua na kichupa aisee Hata sh ngap nachoma, kichwa kinakua kama chizi
Nauliza kwa wanaume ni kawaida au mi ni mgonjwa??