Habari JF.
Hiki kiswali kinahitaji majibu kutoka kwa wanawake wa humu JF. Hakika hawa viumbe ni wadhaifu sana, mwanaume umekutana nae tu katika safari ukatingwa na shida zako mwanaume akajitoa kama kukupa msaada wa kibadamu, je hamuoni namna nyingine ya kushukuru mpaka muanze kujitongozesha kutoa papuchi?
Wiki hii nilikuwa na safari toka mkoani kuja Dar, nilifanikiwa kukaa seat moja na mwanamke mrembo tu anafaa kwa matumizi ya binadamu lakini mimi sikumuhitaji kimapenzi na nilikuwa bize na mambo yangu
Yule mwanamke alikuwa na mashida yake kibao ikiwa hakuwa na vocha ya kuwasiliana na mtu atakayempokea, kuepusha usumbufu wa kuazima simu yangu kuwasilana na huyo ndugu yake nikamfanyia mhamala wa 2000 ajiunge bando la wiki, akafurahi sana
Safari imeendelea, kufika sehemu ya kula chakula yeye hana kitu nikaamua kumnunulia na yeye
Tumefika Morogoro uzalendo ukamshinda akaanza vistory vyake vya mahusiano nami nikawa namsapoti kimtindo...mwishowe aliniomba namba mwenyewe kwani nilikuwa kauzu bandidu nisiyetaka mzaha kabisa
Kufika ubungo saa 2 usiku, huyu mwanamke ndio mara ya kwanza kufika jijini na mwenyeji wake alichelewa kufika kutokana na foreni za jiji. Ili kumsaidia nikaamua kukaa nae mpaka hapo atakapokutana na huyo mwenyeji wake
Alikuja kufuatwa mida ya saa 4 kasoro ivi, kila mtu akaacha na kufuata njia anayoijua yeye
Baada ya hisani hiyi niliyoifanyas kiubibadamu, sasa mwanamke huyo ananitafuta kwa udi na uvumba ili anilipe wema niliomtendea katika nyakati hizo ngumu
Hivi ninyi wanawake hamuna namna ya kutulipa hisani tunazowapa zaidi ya papuchi? Si kila mwanaume anayekusaidia anashida na papuchi yako, wengine tumezifuga majumbani mwetu tumetulizana!
Nawasilisha
Hiki kiswali kinahitaji majibu kutoka kwa wanawake wa humu JF. Hakika hawa viumbe ni wadhaifu sana, mwanaume umekutana nae tu katika safari ukatingwa na shida zako mwanaume akajitoa kama kukupa msaada wa kibadamu, je hamuoni namna nyingine ya kushukuru mpaka muanze kujitongozesha kutoa papuchi?
Wiki hii nilikuwa na safari toka mkoani kuja Dar, nilifanikiwa kukaa seat moja na mwanamke mrembo tu anafaa kwa matumizi ya binadamu lakini mimi sikumuhitaji kimapenzi na nilikuwa bize na mambo yangu
Yule mwanamke alikuwa na mashida yake kibao ikiwa hakuwa na vocha ya kuwasiliana na mtu atakayempokea, kuepusha usumbufu wa kuazima simu yangu kuwasilana na huyo ndugu yake nikamfanyia mhamala wa 2000 ajiunge bando la wiki, akafurahi sana
Safari imeendelea, kufika sehemu ya kula chakula yeye hana kitu nikaamua kumnunulia na yeye
Tumefika Morogoro uzalendo ukamshinda akaanza vistory vyake vya mahusiano nami nikawa namsapoti kimtindo...mwishowe aliniomba namba mwenyewe kwani nilikuwa kauzu bandidu nisiyetaka mzaha kabisa
Kufika ubungo saa 2 usiku, huyu mwanamke ndio mara ya kwanza kufika jijini na mwenyeji wake alichelewa kufika kutokana na foreni za jiji. Ili kumsaidia nikaamua kukaa nae mpaka hapo atakapokutana na huyo mwenyeji wake
Alikuja kufuatwa mida ya saa 4 kasoro ivi, kila mtu akaacha na kufuata njia anayoijua yeye
Baada ya hisani hiyi niliyoifanyas kiubibadamu, sasa mwanamke huyo ananitafuta kwa udi na uvumba ili anilipe wema niliomtendea katika nyakati hizo ngumu
Hivi ninyi wanawake hamuna namna ya kutulipa hisani tunazowapa zaidi ya papuchi? Si kila mwanaume anayekusaidia anashida na papuchi yako, wengine tumezifuga majumbani mwetu tumetulizana!
Nawasilisha