Hivi wanaume wenzangu hua mnawezaje

Hivi wanaume wenzangu hua mnawezaje

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
371
Reaction score
1,900
Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje

Kwa sababu Mimi ukinambia game kesho duu napotezaga network hata kazini akili haikai vzr nikifikiria huo mchezo mnara hua unasoma kila wakati sa ndo unambie tupitie Kwanza baa cjui tule tunywe ndo twende ujasiri huo ntaupata wapi labda tukaanzage kwanza ndo mambo mengine yafate.

Hua najiuliza wenzangu mnawezaje?
 
Ukichukulia mapenzi ni starehe inapendeza zaidi na huo ndio mtiririko wake yn huwezi kuwa na haraka, ila kama unachukulia kuwa leo naenda kupafumua mpaka patoe moshi bc ndo tatizo la mtoa mada linapoanzia
 
Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje

Kwa sababu Mimi ukinambia game kesho duu napotezaga network hata kazini akili haikai vzr nikifikiria huo mchezo mnara hua unasoma kila wakati sa ndo unambie tupitie Kwanza baa cjui tule tunywe ndo twende ujasiri huo ntaupata wapi labda tukaanzage kwanza ndo mambo mengine yafate.

Hua najiuliza wenzangu mnawezaje?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ukiwa kwenye rika la balehe ndo unapata shida ila ukikua date haitakusumbua. Na ukikua zaidi utashangaa ww ndo unaulizwa "baby leo hatufanyi"
 
Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje

Kwa sababu Mimi ukinambia game kesho duu napotezaga network hata kazini akili haikai vzr nikifikiria huo mchezo mnara hua unasoma kila wakati sa ndo unambie tupitie Kwanza baa cjui tule tunywe ndo twende ujasiri huo ntaupata wapi labda tukaanzage kwanza ndo mambo mengine yafate.

Hua najiuliza wenzangu mnawezaje?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kwanza we mpuuzi unaonekana una pupa sana kwenye mchezo,nyie ndio mnaofia kifuani kwa pressure baadae...
 
Uko kwenye foolish age na mbaya zaidi mambo hayo umechelewa kuyaanza.
Mbona kawaida tu.

Mnakunywa, mnaenda home mnaoga kwanza story za hapa na pale then katikati ya story show inaanza bila papara wala miparamiano.

Ukipania sana utaumbuka.
 
Vijana malimbukeni wa mbususu ndo kawaida yenu hiyo, mkishaahidiwa mambo huwa hamtulii kbsa ila ukifika dimbani unauza mechi.

Jitahidi Sana usipige nyeto kabla ya mechi.
 
Huwa ni sehemu ya kuandaana, ili pale mtakapoanza zoezi lenyewe mnakuwa tayari mlishalowa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom