Hivi wanaume wenzangu hua mnawezaje

Hivi wanaume wenzangu hua mnawezaje

Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje

Kwa sababu Mimi ukinambia game kesho duu napotezaga network hata kazini akili haikai vzr nikifikiria huo mchezo mnara hua unasoma kila wakati sa ndo unambie tupitie Kwanza baa cjui tule tunywe ndo twende ujasiri huo ntaupata wapi labda tukaanzage kwanza ndo mambo mengine yafate.

Hua najiuliza wenzangu mnawezaje?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Basi ww sio mwanaume. Usijifananishe na sisi ww tafuta jinsia uliopo mwanaume usieweza kuenda na flow ya mambo mwanaume unakua na kiherehere ungesema kama hutaki kuwa mwanaume
 
We jamaa una pigo kama za msela wangu fulani.ni mtu mzima kwenye 40s lakini kila saa mkiwa mnapiga stori utaskia 'DAAHH NIMESIMAMISHA'huwa namshangaa sana huyu jamaa na mtu ana mke.mmekaa mahali mnakula bia mara anaanza usenge wake sijui nimedindisha!!watu dizaini hii wanaona wakifanya hivyo wataonekana rijali/barobaro sana kuliko wengine.hii ni dalili mbaya sana ya ugonjwa wa afya ya akili.
 
Ukichukulia mapenzi ni starehe inapendeza zaidi na huo ndio mtiririko wake yn huwezi kuwa na haraka, ila kama unachukulia kuwa leo naenda kupafumua mpaka patoe moshi bc ndo tatizo la mtoa mada linapoanzia
Nakazia ...
 
Zamani nilikua na tabia hii, yaani tukishapanga tu nakua nawazia tu mwanzo mwisho hilo swala kama ni kesho basi usiku huo mzima nawaza takavyo fanya tutachart sana kuongelea ngono na ujinga ujinga mwingi.

Hii inasababishwa kama bado ni mgeni mgeni kwenye mambo haya na hauna uhakika sana wa kuzipata k za kupiga ila kama unazipiga unavyotaka ww utachukulia poa kabisa.

Mimi tatizo linalo nisumbua niki sex na mademu ambao sina mahusiano nao nikishamaliza kukojoa tu hata story na demu huwa sihitaji sana na nakuwa kama mtu naempuzia mwanamke na ninakuanaona kama nimefanya upuuzi.

Yaani nikikojoa tu kichwa ndo napata fahamu ila nikiwa na ninae mpenda nakuwa sipo hivo
 
Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje

Kwa sababu Mimi ukinambia game kesho duu napotezaga network hata kazini akili haikai vzr nikifikiria huo mchezo mnara hua unasoma kila wakati sa ndo unambie tupitie Kwanza baa cjui tule tunywe ndo twende ujasiri huo ntaupata wapi labda tukaanzage kwanza ndo mambo mengine yafate.

Hua najiuliza wenzangu mnawezaje?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hatari mie kama kunywa tunywe chumba i huku tayari wote tupo uchi. Bar nitajikuta naaibika tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom