Hivi wanaume wenzangu hua mnawezaje

Hivi wanaume wenzangu hua mnawezaje

Tunalewaje sasa? Niko na mpenzi wangu halafu tulewe, no no no...

tutakunywa majuice na mamaji tu, Mapenzi yanataka akili zenu ziwe timamu zisiwe shaked na chochote.

Day 1 sio tu kuivumilia ila kama unaweza kbsa sio ya kulana otherwise mnahave it for fun.

ila mpenzi wako kbsa mliedanganyana mtapendana mpk muoane, day 1 ni ya story tu na kufahamiana vile vya ndani na romance za hapa na pale ila Sex ni siku ingine tena,she is already yours buannaaa
 
Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje

Kwa sababu Mimi ukinambia game kesho duu napotezaga network hata kazini akili haikai vzr nikifikiria huo mchezo mnara hua unasoma kila wakati sa ndo unambie tupitie Kwanza baa cjui tule tunywe ndo twende ujasiri huo ntaupata wapi labda tukaanzage kwanza ndo mambo mengine yafate.

Hua najiuliza wenzangu mnawezaje?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
We bado mvulana, mbunye ni kitu kipya kwako. Kwa wanaume hicho ni kitu cha kawaida sana!
 
Wewe utakuwa mvulana wa Sekondari unasoma boarding Tosamaganga
 
Uvulana ndio unakutesa,,,Uki bahatika kukua na kuwa Mwanaume haswaa,, hizo haraka zitaacha zenyewe!!
 
Inabidi upige mechi nyingi sana ili wenge litoke,kuna muda wewe ndo utaanza kuwakwepa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom