Hivi wanaume wengine sijui wakoje

Hivi wanaume wengine sijui wakoje

iryn alphonce

Member
Joined
May 15, 2014
Posts
49
Reaction score
8
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia

hakuna kitu normal friendship kati ya jinsia 2 tofauti
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia
haya basi ....
 
Kwahiyo unamaanisha friends zko wte unawafaham,hutki new friends?

wote ambao ni marafiki zangu ilichukua muda mpaka wakawa marafiki, hata sasa wakiwepo wapya ni mpaka nijiridhishe kuwa wanafaa kuwa marafiki, sikurupuki
 
An empty mind is the workshop of the devil

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia

Hakuna urafiki kati ya chui na mbuzi😍😎
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia

majukwa ni tofauti afu pili si lazima uendele kuchat naye
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia

Kwa hali hiyo ndio utatongozwa mara dufu
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia

Ulitaka atongozwe mwanaume? Si umeona na kusoma watu wanaotafuta wachumba katika majukwaa haya? Wapo ambao ni wawindaji lakini hawajionyeshi. So hii ni nafasi yao usijisikie vibaya, wengine wanatamani eti.
 
Hivi wanaume wanadhani hizi social media ni za kutongoza wanawake tu hakuna kingine,mtu anakurequest friendshp mkianza kidogo tu kuchat hapohapo ananza kumwaga sera zake,acheni wenye hizo tabia

Bado mimi,
Naja pm
 
Back
Top Bottom