Hivi wanaume mnakwama wapi jamani??

TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
Asee nimekubali data zako😂😂😂😂
 
Mkuu, kweli unataka tusugue mbupu? Unajua jinsi gani zilivyo delicate? Yaani kwa jinsi zilivyokuwa soft halafu tusugue na dodoki tena kwa nguvu, hutupendi na wala hutaki ulalwe vizuri...
Kuna vitambaaa laini vya kuogeaaaa sio lazimaa brush la miguu
 
Ni wajibu wangu kama simsaidii kutafuta pesa wala kuhudumia familia ila ndoa za siku hizi ambazo mwanaume na mwanamke wote tunagangamala na maisha mchana kutwa

Usiku tunarudi tumechoka bado tena mnataka tukirudi tuanze kuwaangalia nyie? Na sisi nani anayetuangalia sasa?

Maana kama ni pesa wote tunatafuta na familia wote tunahudumia kwa sababu inaonekana wanaume wa siku hizi mmeshindwa kufanya hayo peke yenu sasa na sisi tunaporudi tumechoka nani atuangalie?

Hapo ndipo mnapofeli mwanamke anayetakiwa kumuangalia mumewe ni yule ambaye anashinda tu nyumbani anasubiri kuhudumiwa na mumewe hatafuti pesa wala kuhudumia familia ila sisi wengine mtakuwa mnatuonea tu
Yaaan urud saa 2 usiku umechokaa na bado ukaanze kuaangaliaa lijitu zimaa kama limeogaaaa achana naye huyo hajielewi
 
TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
Alichukua sample katika mikoa 10 na kila mkoa alifanya utafiti na watu 50 kwahiyo utafiti wake ni sample ya watu 500.
 
I wish ungenijuaa na ungejuaa hao watu hapa nazungumziaa in general wanaume wengi huko uvunguni paipo jikunjaa hampagusagi
sample yako umeichukulia kwa wanaume wangp?huenda unaotaja hawako huk,kuna mdau moja hapo juu kaeleza vizur tu
 
unakutana na wasiosugua n akujua kujisafisha...kikao kizima mnakutana tu na wa hivo...poleni angalieni mnavochagua watu wa kugegedana nao
 
Kuna vitambaaa laini vya kuogeaaaa sio lazimaa brush la miguu
Pamoja na yote, mbupu ni very delicate. Maji, sabuni na vidole/mkono vinatosha sana kuziosha ziwe safi bila harufu. Muhimu ni usafi endelevu.
 
Back
Top Bottom