Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
Naomba kuuliza hili swali wapendwa hivi baadhi ya wanaume huwa wanajua maana ya hili neno hususani kwenye kipengele cha sita sita?
Manake unakuta mtu anasema anahitaji only one night stand with u, hivi kweli mnajua maana ya one night stand?
Baadhi ya wanaume bwana unaweza mpaka upasuke kwa hasira, mtu anakuzungukia zaidi ya mwaka (kwa mfano) na vilio juu anataka one night stand basi inatokea mtu kweli umemuonea huruma siunajua tena kufatwafatwa sometyme kero alafu dume zima linajiliza linataka one night stand, basi unaamua umpe zaga lol then mnaahidiana siku ya kumtunuku.
Bwana we! Mwanamke unakuta najiandaa na show kabambe, yaani full mzuka, nimejikoki ile mbaya manake najua huko leo moto unawaka yaani mpka kiuno nakikanda na kukifanyia mazoezi ili match isije kuwa ya upande mmoja ball possesion iwe equal si unajua tena raha ya match usizidiwe utachekwa mwanamke.
Kufika unakuta naye ana mzuka ile mbaya na asante anazitoa za kutosha kuwa hakutegemea kama ningefika basi kutokana na mimi kuwa sipendi maneno mengi when it comes to dudu na kuwa nipo tayari active kwa shughuli bwana wewe tunafanya ya kufanya then huku na huku huku na huku wazee wale na jamaa choka mbaya na usingizi hapo hapo akija kuamka ni saa sita lets say ilikuwa saa moja tulipomaliza round ya kwanza aaaaagh!
Saa sita tunaanza tena mbilinge kabla ya saa 7 wazungu hao hapo ndo kabisa usingizi kama pono kushtuka ni saa kumi na moja alafu anataka kile cha kwa heri unabakia kujiuliza hivi huyu alikuwa anataka one night stand au short time? Hebu jamani mnisaidie maana ya one night stand ni ipi? Manake watu wanaitumia vibaya unakuta mtu umejiandaa na match ya simba ukifika unakutana na match ya friend ranger ya Kagera kwa kweli mnachosha.
Manake unakuta mtu anasema anahitaji only one night stand with u, hivi kweli mnajua maana ya one night stand?
Baadhi ya wanaume bwana unaweza mpaka upasuke kwa hasira, mtu anakuzungukia zaidi ya mwaka (kwa mfano) na vilio juu anataka one night stand basi inatokea mtu kweli umemuonea huruma siunajua tena kufatwafatwa sometyme kero alafu dume zima linajiliza linataka one night stand, basi unaamua umpe zaga lol then mnaahidiana siku ya kumtunuku.
Bwana we! Mwanamke unakuta najiandaa na show kabambe, yaani full mzuka, nimejikoki ile mbaya manake najua huko leo moto unawaka yaani mpka kiuno nakikanda na kukifanyia mazoezi ili match isije kuwa ya upande mmoja ball possesion iwe equal si unajua tena raha ya match usizidiwe utachekwa mwanamke.
Kufika unakuta naye ana mzuka ile mbaya na asante anazitoa za kutosha kuwa hakutegemea kama ningefika basi kutokana na mimi kuwa sipendi maneno mengi when it comes to dudu na kuwa nipo tayari active kwa shughuli bwana wewe tunafanya ya kufanya then huku na huku huku na huku wazee wale na jamaa choka mbaya na usingizi hapo hapo akija kuamka ni saa sita lets say ilikuwa saa moja tulipomaliza round ya kwanza aaaaagh!
Saa sita tunaanza tena mbilinge kabla ya saa 7 wazungu hao hapo ndo kabisa usingizi kama pono kushtuka ni saa kumi na moja alafu anataka kile cha kwa heri unabakia kujiuliza hivi huyu alikuwa anataka one night stand au short time? Hebu jamani mnisaidie maana ya one night stand ni ipi? Manake watu wanaitumia vibaya unakuta mtu umejiandaa na match ya simba ukifika unakutana na match ya friend ranger ya Kagera kwa kweli mnachosha.