katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Wapendwa mimi ni Mama wa kambo wa watu wanne wamzee. Sijawahi watenga , kuwapa presha na hata kuwasema vibaya. Kula wanakula , na kila kitu wakitaka wanapata ila wamama wa kambo wengine wabaya wanachosha na wanasikitisha. Kuna mama kaolewa ana mimba na pia kaja na mtoto wake .
Sasa kamkuta mtoto wa miaka tisa na 3 ila wanavyowafanyia hadi wamechukuliwa na baba yao nakuwapeleka kwa mama yake na kijana.
Mtoto mdogo anaosha vyombo kweli na akishindwa anachapwa vibaya mno wanapewa ukoko au mara ingine hawapi chakula.
Hivi unamnyima mtoto chakula kabisa halafu unaona nisawa tu kichaa nyie halafu anakaa njaa chakula hununui wewe.
Unamuacha mtoto mchafu siku kadhaa halafu unamnyima maji eti ni ya kununua.
Nyie wa baba mko tu mnashangaa visa watoto wanafanyiwa. Wanapigwa kama paka aliyeiba kitoweo sio vizuri acheni tabia hizi ni mbaya.
Hata wewe ipo siku yako watoto wako watafanyiwa hivyo. Wengine hadi wanaua watoto wa kambo kosa sio wao. Kosa ni wewe acha roho mbaya.
Jaribu kuwa na utu jamani.
Maisha hayaendi hivyooo.
Mie nimemaliza
Mwisho wa kunukuu.
Na ninajua mpo huku nyie mafisadi .
Sasa kamkuta mtoto wa miaka tisa na 3 ila wanavyowafanyia hadi wamechukuliwa na baba yao nakuwapeleka kwa mama yake na kijana.
Mtoto mdogo anaosha vyombo kweli na akishindwa anachapwa vibaya mno wanapewa ukoko au mara ingine hawapi chakula.
Hivi unamnyima mtoto chakula kabisa halafu unaona nisawa tu kichaa nyie halafu anakaa njaa chakula hununui wewe.
Unamuacha mtoto mchafu siku kadhaa halafu unamnyima maji eti ni ya kununua.
Nyie wa baba mko tu mnashangaa visa watoto wanafanyiwa. Wanapigwa kama paka aliyeiba kitoweo sio vizuri acheni tabia hizi ni mbaya.
Hata wewe ipo siku yako watoto wako watafanyiwa hivyo. Wengine hadi wanaua watoto wa kambo kosa sio wao. Kosa ni wewe acha roho mbaya.
Jaribu kuwa na utu jamani.
Maisha hayaendi hivyooo.
Mie nimemaliza
Mwisho wa kunukuu.
Na ninajua mpo huku nyie mafisadi .