mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Ndugu wana JF hivi mnaonaje hadhi ya hawa walimu ambao bila wao hakuna mmoja kati yetu angeweza fanya mengi tunayofanya sasa,je ni wanasesere ambao hakuna anayeogopa wachezea?au labda serikali inamatabaka ya waajiriwa wake,sababu kila mwaka malalamiko ya mishahara ni yao,hii serikali kama kweli imekumbwa na financial crisis na inajiamini kiutendaji,kwanini isifanye zamu zamu za kuchelewesha mishahara kwa kila waajiliwa wake?Mfano leo wanawacheleweshea walimu,basi kesho iwe zamu ya wanajeshi!!
Inatia uchungu sana ni sawa na mzazi kubagua watoto!!
Inatia uchungu sana ni sawa na mzazi kubagua watoto!!