nasaluka
Senior Member
- Jun 20, 2015
- 149
- 185
"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.
Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.
Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.
Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,
Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.
Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.
Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.
Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,
Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?