Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,920
- 23,246
Heri njema kwenu nyote,
Ningependa kujua kwenu wadau hapa mjini Dar, kazi ya useremala bado ina soko? natamani kuirudia fani yangu niliosomea na kuifanya kwa miaka kumi hivi niliiacha baada ya kupata ajira.
Sasa ajira imekua sio ajira bali utumwa na maslahi duni mno! Natamani sana kuirudia fani ila sijajua kwa sasa hali ikoje maana ni mwaka wa tano sasa toka niisitishe.
Ningependa kujua kwenu wadau hapa mjini Dar, kazi ya useremala bado ina soko? natamani kuirudia fani yangu niliosomea na kuifanya kwa miaka kumi hivi niliiacha baada ya kupata ajira.
Sasa ajira imekua sio ajira bali utumwa na maslahi duni mno! Natamani sana kuirudia fani ila sijajua kwa sasa hali ikoje maana ni mwaka wa tano sasa toka niisitishe.