Hivi wakina Joyce mna matatizo gani?

Hivi wakina Joyce mna matatizo gani?

alinipenda yule dada nilikua natumiwa card nikipanga tranka limejaa kadi na barua zake

ila nilikua namchomole huwezi amini hadi namaliza four ile shule sikutaka hat mkubalia

mtoto wa watu hakuacha nitafuta hata tulipomaliza shule kwa msg ngumu za ahadi kwamba atanisubiri tu

Nikaja bahati mbaya poteza na namba yake ya simu

Leo hii ndio namkumbuka ule uzuri wake na jinsi alivyonipenda bure with nothing ila nikawa bichwa gumu

Nakutana na kina betina na kina zena wananinyooosha nabaki tu kuomba Mungu anikutanishe na Joyce

Asee ukiskia watu wamechezea dhahabu ndio mimi,nikiangalia picha za graduuu za yule mtoto leo hii

najisemea moyoni (nani aliniloga mimi) mtoto ni mzuri na saivi kashakomaa kawa dada atakuaaje.

ila mimi nina mikosi na mapenzi haya acha kabisa.

Kama kweli huyo mdada alikuwa mzuri kama unavosema bhasi usingemkataaga CONTROLA
 
Jina lina uhusiano gani na kupenda hela? Acha kuchafua majina ya watu..
 
Duh umenikumbusha kuna demu mmoja wakuitwa hilo Jina Joyce alikuwa anasoma chuo katokea huko singida. Nilimtongoza ila uchi akawa ataki kunipa hata geto alikataa Kuja kwakuhofia nitamla.

Ikatokea Fiesta mida yasaa5 usiku akanipigia simu akaniuliza nipo wapi? Nikamjibu nipo kwenye show ya Fiesta, yaani kusikia hilo neno Fiesta Joyce kama vile alichanganyikia. Akanibembeleza aje nimlipie kiingilio namimi bila ajizi nikamwambia panda bodaboda nitakuja kulipia huku. Nusu saa jingi mtoto kishafika nikatoka nikalipia. Duh aiseee alienjoy sana ile show. Mida yasaa9 nikajibebea mzigo nikaenda kuukamua kiroho Safi nandio ukawa mwanzo wetu wakulana namtoto Joyce ila alikuwa natumizinga tudogotudogo ila namimi nilikuwaga sina maana nilikuwa ndio nimemaliza shule nafanya biashara yahome.

Popote ulipo Joyce I miss you maana ulikuwa unajua kuililia kinoma ila ulichokuwaga unanikera nikumtaja bwana wako hamisi wakati washow ikikorea.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cc Kingsmann
 
Joyce anampa limbwata mdogo wake ili ampe mumewe ampende. yaani shemeji yake na joyce. Joyce ni mke wa mtu.

Shemeji yake joyce akatokea kumpenda joyce kuliko mdogo wake joyce.

Joyce akaliwa kiubwete mpaka kamzalia mtoto shemeji ake!
Mdogo wake kugundua dada joyce alimwingiza chaka akanuna mpaka leo hawaongei. Sasa anatafuta dawa ya kumfanya joyce awe kichaa aliwe na vichaa wenzake mwenye nayo soko lipo kwa mdogowe joyce.
 
Back
Top Bottom