alinipenda yule dada nilikua natumiwa card nikipanga tranka limejaa kadi na barua zakealikufanyia nini mpaka umkumbuke?
AiseHahahahaha nilipomuuliza huyo hamisi yupo wapi? Akanijibu yupo mbeya anasoma chuo.
Aiseee pole kwa kumpoteza Joyce sabab ya uzembealinipenda yule dada nilikua natumiwa card nikipanga tranka limejaa kadi na barua zake
ila nilikua namchomole huwezi amini hadi namaliza four ile shule sikutaka hat mkubalia
mtoto wa watu hakuacha nitafuta hata tulipomaliza shule kwa msg ngumu za ahadi kwamba atanisubiri tu
Nikaja bahati mbaya poteza na namba yake ya simu
Leo hii ndio namkumbuka ule uzuri wake na jinsi alivyonipenda bure with nothing ila nikawa bichwa gumu
Nakutana na kina betina na kina zena wananinyooosha nabaki tu kuomba Mungu anikutanishe na Joyce
Asee ukiskia watu wamechezea dhahabu ndio mimi,nikiangalia picha za graduuu za yule mtoto leo hii
najisemea moyoni (nani aliniloga mimi) mtoto ni mzuri na saivi kashakomaa kawa dada atakuaaje.
ila mimi nina mikosi na mapenzi haya acha kabisa.
mkuu hata ukija kuonana nae hatakua na time na wewe tena.alinipenda yule dada nilikua natumiwa card nikipanga tranka limejaa kadi na barua zake
ila nilikua namchomole huwezi amini hadi namaliza four ile shule sikutaka hat mkubalia
mtoto wa watu hakuacha nitafuta hata tulipomaliza shule kwa msg ngumu za ahadi kwamba atanisubiri tu
Nikaja bahati mbaya poteza na namba yake ya simu
Leo hii ndio namkumbuka ule uzuri wake na jinsi alivyonipenda bure with nothing ila nikawa bichwa gumu
Nakutana na kina betina na kina zena wananinyooosha nabaki tu kuomba Mungu anikutanishe na Joyce
Asee ukiskia watu wamechezea dhahabu ndio mimi,nikiangalia picha za graduuu za yule mtoto leo hii
najisemea moyoni (nani aliniloga mimi) mtoto ni mzuri na saivi kashakomaa kawa dada atakuaaje.
ila mimi nina mikosi na mapenzi haya acha kabisa.
Na wote tuseme ameeen!Ngoja waje.ila ukiombnwa hela toa utabarikiwa
ahahahahahahahahha mkuu huyo mwambie tuMkuu wewe sikia kwa wengine tu. Kuna demu wangu anaitwa Eva kila nikimtext lazima aniombe bela. Hadi nimeacha kumtmumia sms kabla ya mwezi maana wakati mwingine nakuwa sina hela kwa kuwa mshahara wangu ni.chini ya 300,000 kwa mwezi. Hivi nyie mademu mnaopenda hela kama nyani anavyopenda mahindi mabichi mna nini lakini????
ntamfanya awe na time na mimi aseeemkuu hata ukija kuonana nae hatakua na time na wewe tena.
Na wote tuseme ameeen!
Za kupotea karibu sanaNgoja waje.ila ukiombnwa hela toa utabarikiwa
Ulipotelea wapi mtoto mzr?Ngoja waje.ila ukiombnwa hela toa utabarikiwa
Nimerudi sasaUlipotelea wapi mtoto mzr?
Asante mkuuZa kupotea karibu sana
Nafikiri Hawa ndo kina Joyce wenyewe 😎Ngoja waje.ila ukiombnwa hela toa utabarikiwa