G_real
JF-Expert Member
- Aug 23, 2019
- 684
- 851
Habari za saa hizi wakuu,
Hivi hawa wenye wadada wakuitwa Joyce wana matatizo gani🙇?
Nilikua na demu anaitwa Joyce alikua ana maringo sana halafu anapenda sana maisha ya juu na pesa sana.
Na nilimpotezea baada ya kuja ghetto na kuninyima papuchi yaani ananipa masharti mengi eti nikimuoa lazima tufunge harusi na vingine vingi na alikua anapenda pesa sana kila kitu mimi.
Mara ya mwisho kumtumia SMS ilikuwa mwaka huu mwezi wa sita. Nilimtumia SMS, kabla hata hajajibu akaniomba hela ya kusukia nywele hapo ndiyo nikaacha kumtumia SMS.
Imepita miezi 4 sijawahi kumtumia SMS wala kumjibu SMS zake. Leo nimejiroga kumtumia SMS kabla hata hatujasalimiana vizuri ananiambia😟 ndiyo anarudi chuo kwa hiyo nimtumie 30000 ya kula njiani na daladala akifika. Hapa nimemuweka blacklist.
Mwnigine Joyce nimemtongoza Jumatatu na kukubali siku hiyo hiyo na jana Jumanne kaanza kuniomba hela kama mimi baba yake. Eti kuna gauni analipenda anataka nikamnunulie😁😁😁😁.
Nashindwa kuwaelewa hawa wakina Joyce wengi wapo hivyo wanapenda maisha mazurii na kujisikia sana.
Hivi hawa wenye wadada wakuitwa Joyce wana matatizo gani🙇?
Nilikua na demu anaitwa Joyce alikua ana maringo sana halafu anapenda sana maisha ya juu na pesa sana.
Na nilimpotezea baada ya kuja ghetto na kuninyima papuchi yaani ananipa masharti mengi eti nikimuoa lazima tufunge harusi na vingine vingi na alikua anapenda pesa sana kila kitu mimi.
Mara ya mwisho kumtumia SMS ilikuwa mwaka huu mwezi wa sita. Nilimtumia SMS, kabla hata hajajibu akaniomba hela ya kusukia nywele hapo ndiyo nikaacha kumtumia SMS.
Imepita miezi 4 sijawahi kumtumia SMS wala kumjibu SMS zake. Leo nimejiroga kumtumia SMS kabla hata hatujasalimiana vizuri ananiambia😟 ndiyo anarudi chuo kwa hiyo nimtumie 30000 ya kula njiani na daladala akifika. Hapa nimemuweka blacklist.
Mwnigine Joyce nimemtongoza Jumatatu na kukubali siku hiyo hiyo na jana Jumanne kaanza kuniomba hela kama mimi baba yake. Eti kuna gauni analipenda anataka nikamnunulie😁😁😁😁.
Nashindwa kuwaelewa hawa wakina Joyce wengi wapo hivyo wanapenda maisha mazurii na kujisikia sana.