mwelevu mno
Member
- May 13, 2018
- 13
- 8
Jamani nyie wadada wa siku hizi hivi mnataka mtu awapende vipi ili mtu kama anawapenda maana kila kitu mnapewa ila bado mnaishia kusaliti tu mna maana gani.
Unaijua Bujibuji's love theory?Jamaani nyie wadada wa siku hz hv mnataka mtu awapende vp ili mju kama ana wapenda maana kila kitu mnapewa ila bado mnaishia kusaliti tu mna maana gani.
Hahaaaa mwambie eti huyo. Kwani lazima adili na m'mke aachane nao afanye shughuli zingineWaache wanawake wala usiwabugudhi tafadhali! Narudia tena kusema uwaache wanawake.
Waache mama zetu tafadhali!
Ukiwashindwa achana nao ufanye jambo lingine la maana.
Kumbuka bila wanawake haya maisha hayaendi eti
Wa tisaUmezaliwa mwezi gan mkuu??
We ni direct tuu unisaidie maana mgonjwa hafichi ugonjwa wake kwa daktariKama kila kitu unatoa na bado unasalitiwa IPO shida mahali....jichunguze ila skwambii ujichunguze wapi!
Sidhani kama ataweza!Hahaaaa mwambie eti huyo. Kwani lazima adili na m'mke aachane nao afanye shughuli zingine
Aahhh ndo maana ,basi chunga sana , mahusiano nisuala ambalo litakuaga linakuumiza kichwa sana.Wa tisa
Dah...hmu ndani watu mna sound kishenzi yaani hpo hata angetaja wa kwanza jibu lilikuwa hlohlo!Aahhh ndo maana ,basi chunga sana , mahusiano nisuala ambalo litakuaga linakuumiza kichwa sana.