Hivi wadada mnataka mpendwe vipi?

Hivi wadada mnataka mpendwe vipi?

Kwani nyie mnavyo cheat huwa mmekosa nn kwa wake zenu
 
Jamani nyie wadada wa siku hizi hivi mnataka mtu awapende vipi ili mtu kama anawapenda maana kila kitu mnapewa ila bado mnaishia kusaliti tu mna maana gani.
Wanaume nyie ni waongo kama mimi huku nimempata mtu lijibaba halina aibu mpenzi naomba elfu30 kweli?
Baadae oh we mbinafsi
 
Back
Top Bottom