Ukiona mwanaume haamui ujue kuna vitu kutoka kwako vinamkwamisha kutoa maamuzi.
Uamuzi wa kuoa ni msukumo wa hiari toka kwenye uvungu wa moyo pindi nafsi itakavyokuwa imejiridhisha kikamilifu.
Na hususani moyo utapokuwa umebalance kati ya mazuri yako na mapungufu yako.
Nje na hapo atakuridhisha kwa kufunga ndoa in temporary terms.
Halafu epukeni kusema ntakusapoti kwenye ndoa hata kulipa mahari, kwa mwanaume kama mimi ntahisi there is something wrong!
Pia,nakuomba vuta subira hakuna kikomo cha umri wa kuolewa, wapo waliowahi kuolewa wameishiwa kuitwa single mom na wapo waliochelewa wameendelea kupeta kwenye mikono salama ya wanaume.
Kingine usipende kuweka wazi matarajio yako katika maisha, wengine mna overdream mpaka mwanaume wanawaogopa. Wakati maisha ya wanaume wengi wanaohaso ni ya kawaida sana, wanaona bora waishie kumega tu wakapumzike kwa amani kwenye room zao.
Binafsi sijaoa na nimejaribu kujipambanua, nikimpaka anaejua mbivu na mbichi za maisha tutayajenga. Kila la kheri