dustless
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 796
- 713
Kwani umelichukuliaje tenakwa hilo jina lako mmmh
Kwani umelichukuliaje tenakwa hilo jina lako mmmh
Baadhi sio wotehampendi kuulizwa maswali
No mi sio kiben10Sio wewe kweli![]()
90% ya wanawake bongo wanagongwa na wanaume 40% ( waliooa, wenye pesa, vyeo , handsome) unakuta jamaa m1 ameoa na ana michepuka 6 au zaid.
Vijana wengi wasio na uwezo kipesa na weny sura ngumu wanalalama kwamba wanakosa wadada wa kuoa na wakati huo numbers zinasoma wanawake ni weng kuliko wanaume. Unaweza kujiuliza Je, hao wanawake ambao wana umri wa kuolewa na hawajaolewa wanagegedwa na nani?
Wadada punguzeni kubagua mngali wabinti , mtachezewa sana na kuzalishwa sana na waume za watu.

unapatikana wap na weka pichapole mkuu ila tupambane tu na hali zetu
ila viuchebe vizuri vinaringa. viuchebeuchebe vitakuganda balaaa
nina uwez wa kukusaidia nip namba zko nin 26 yrsMwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.
Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.
Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?
Na kugawana mali na mtu husika ikiwa mmoja wenu akaona hawezi tena kuemdelea kuishi na mwenzie...Nyinyi mnafikiri kuamua kuishi na mtu milele mpaka kifo kiwatenganishe ni rahisi?