Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
View attachment 55634
View attachment 55639
View attachment 55642
Kwa ubunifu huu UKIMWI utashindwa.
View attachment 55639
View attachment 55642
Kwa ubunifu huu UKIMWI utashindwa.
Huko mikoa ya kanda ya ziwa hizo wanachemsha na chumvi baada ya kutumia kisha anamwazima na mwenzie aende akatumie
Huko mikoa ya kanda ya ziwa hizo wanachemsha na chumvi baada ya kutumia kisha anamwazima na mwenzie aende akatumie
Hii habari niliwahi kuisikia, na jina wanaziita kito*beo - lol.Kweli....??
Zinapendeza, zinavutia!
mmmh hiyo mpya.Wapi ROUGH RIDER na SUPER LAST kwenye list Coz zile ni kiboko baada ya matumizi unazifua unaanika kwenye kamba ya nguo tayari kwa matumizi siku ingine.
Hapo kuna mawili aidha wewe ni mwaminifu au hutumii kabisa. Ha ha h ah ah ah ah.......!walaaaaj kweli huu ni ubunifu.... Imenichukua muda kubaini
Ni kweli. Kama unatumia hizo. No need of ARV.[/Q UOTE]
Tatizo wabongo hawatumii. Ni mara ya kwanza tu na kuanzia hapo kitu kinapigwa live.