Hivi VITU ni zaidi ya ARV (PICHA)

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Oct 25, 2010
1,399
255
1.jpg View attachment 55634 4.jpg
5.jpg 6.jpg View attachment 55639
10.jpg 11.jpg View attachment 55642
Kwa ubunifu huu UKIMWI utashindwa.
 
Mimi ni mmoja wa wale wanaoamini kuwa tendo la ndoa ni natural ana ni sehemu ya maisha kwa
mtu yeyote aliyebarehe bila kujali kama ameolewa au la. Njia pekee ya kuzuia HIV ni kuwa na matumizi sahihi ya
mipira ya kiume na kike.
 
Huko mikoa ya kanda ya ziwa hizo wanachemsha na chumvi baada ya kutumia kisha anamwazima na mwenzie aende akatumie
 
Kweli ukimwi utaendelea kuibuka kidedea kila siku.
 
Wapi ROUGH RIDER na SUPER LAST kwenye list Coz zile ni kiboko baada ya matumizi unazifua unaanika kwenye kamba ya nguo tayari kwa matumizi siku ingine.
 
Back
Top Bottom