Hivi vitu ni propaganda au??

Hivi vitu ni propaganda au??

Takwimu ndio kitu cha msingi mkuu . hata ukimwi Kuna watu toka wazaliwe hadi leo watu wazima Kinga ziko stable japo wanavirusi
Ila Hata mimi huwa sielewi ni nani aliyesema ukivuta bangi pafu moja madhara miaka Saba? Nimegoogle kote hicho kitu hakipo ila yapo madhara ya bangi.

Sehemu ambapo uvutaji wa bangi ni mkubwa na rate za uhalifu ziko juu mno...
 
Is 20% Normal ( Huyo ni mtu maarufu anayefahamika na ni mvuta bange )
Jamaa amevuta bangi, zikamsaidia kutunga nyimbo mzuri mpaka Tanzania ikamfahamu na akanyakua tuzo 5 kwa mpigo, Bado unasema jamaa ni chizi?
Basi akina Enstein nao ni machizi
 
Hivyo vitu havina madahara mkuu wangu we kama unatumia tumia tu wala usiogope
 
Takwimu ndio kitu cha msingi mkuu . hata ukimwi Kuna watu toka wazaliwe hadi leo watu wazima Kinga ziko stable japo wanavirusi
Ila Hata mimi huwa sielewi ni nani aliyesema ukivuta bangi pafu moja madhara miaka Saba? Nimegoogle kote hicho kitu hakipo ila yapo madhara ya bangi.

Sehemu ambapo uvutaji wa bangi ni mkubwa na rate za uhalifu ziko juu mno...
Kwa upande wangu naona wavutaji bangi wengi wapo na self awarenes,
na hawapendi kupelekeshwa.
Sasa inapotokea mtu amemzingua huwa hawawazi marambili, so chochote kitakachomjia atakifanya ili kujiponya maumivu aliyosababishiwa, hiki kitu ndio kinageuka na kuitwa uhalifu.!!
Yani
Kumpiga ngumi mtu aliyekudharau ni ualifu tehe tehe
 
Yani bange vuuuuuutaaaaa sigara ndo usiseme we vuta ila katika yote usitumie madawa ya kulevya drug abuse
 
Unataka kusema wanaotoa ushauri huwa wanafanya kwa mazoea tu? Lakini sicho wanachokimaanisha?
Siwezi kuwahukumu watu wote wanaotoa ushauri kama unavyowaza wewe,bali nimedhamiria kua sio kila anayekupa ushauri wa jambo fulani basi nilazima naye awe analitimiza,

Kama mtu amekushauri kua usitumie "unga" coz una madhara kiafya,na ikiwa utamuona huyo mtu aliyekushauri yeye akitumia huo unga,hiyo haimaanishi kua unga ni salama coz hata aliyekushauri usitumie yeye anautumia.
 
Wewe kama unatumia usijishtukie kuja kutafuta uhalali wa kuvuta bangi zako, wewe endelea tu, ila muda utaongea
 
Nani kakwambia kua afya ya mtu hupimwa kwa kumuangalia mtu kwa macho tuu?!
Mzee nimetolea mfano huyo jamaa kwavile ni famous, haya nambie unataka nitoe mfano kwa mtu gani kama hadi Fidel castro utakataa
 
Siwezi kuwahukumu watu wote wanaotoa ushauri kama unavyowaza wewe,bali nimedhamiria kua sio kila anayekupa ushauri wa jambo fulani basi nilazima naye awe analitimiza,

Kama mtu amekushauri kua usitumie "unga" coz una madhara kiafya,na ikiwa utamuona huyo mtu aliyekushauri yeye akitumia huo unga,hiyo haimaanishi kua unga ni salama coz hata aliyekushauri usitumie yeye anautumia.
Tuachane na unga, turudi kwenye mada kuu, hasa kwa watu niliowatolea mifano hapo juu, mfano Castro, bob marley, bi kidude, obama, che guevara, nyerere n.k
 
Wewe kama unatumia usijishtukie kuja kutafuta uhalali wa kuvuta bangi zako, wewe endelea tu, ila muda utaongea
Wacha kuhemkwa, usitumie makalio kujibu hoja zangu, sawa dogo?
 
Tuachane na unga, turudi kwenye mada kuu, hasa kwa watu niliowatolea mifano hapo juu, mfano Castro, bob marley, bi kidude, obama, che guevara, nyerere n.k
Huwezi kutumia watu wachache sana kupata result kua jambo fulani halina madhara! Research zina kanuni zake,pia ni fani inayosomewa.
 
Huwezi kutumia watu wachache sana kupata result kua jambo fulani halina madhara! Research zina kanuni zake,pia ni fani inayosomewa.
Basi sawa, tuangalie mazingira yanayotuzunguka, ni wangapi mtaani kwenu wanaoumwa kansa kwa kuvuta sigara?
N.B
mtaani kwangu hakuna
 
Basi sawa, tuangalie mazingira yanayotuzunguka, ni wangapi mtaani kwenu wanaoumwa kansa kwa kuvuta sigara?
N.B
mtaani kwangu hakuna
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa,hata kanuni za kidaktari haruhusiwi kutangaza ugonjwa wa mgonjwa kwa watu wengine,si rahisi kama unavyofikiria kujua mtaani kwako nani ni mgonjwa wa kansa? Tena juu ya hivyo ujue hiyo kansa yake imesababishwa na Sigara!!

Mkuu ukitaka kupata accurate figure ya results ya hivi vitu,unatakiwa upate from reliable source.
 
Mkuu usijaribu kujiingiza kwenye jambo ambalo watu walitumialo jambo hilo hujitahidi kutoka lakini wanashindwa.
 
Mambo mengi tunayasikia na kuyasoma lakini baadae tukija kwenye maisha halisi tunakuta ni tofauti,
Mfano-
SIGARA: Hii inapigwa vita sana na inasemekana ni hatari kwa maisha, lakini tukija kwenye uhalisia wa wavutaji utagundua wazee wengi wenye umri mkubwa ni wavutaji wakuu wa sigara na still umri wao unasonga, kama vile Bi kidude& Fidel Castro(rip) n.k.

POMBE: Hii nayo inapigwa vita kwa na baadhi kwamba ina madhara kwenye maini na kwenye kinga ya mwili, lakini tukija kwenye uhalisia inatumiwa na madokta, maprofesa, watu mashuhuri kama akina Adolf Hitler(rip), Maraisi na matajiri wa dunia, wacheza soka n.k, na hao wote utakuta wana madaktari wao binafsi,
Ni watu walioelimika n.k,
SASA UNAJIULIZA INAMAANA HAWA WATU WAMEAMUA KUJITOA MUHANGA AU HAWAELEWI MADHARA YA POMBE? Na kama ina madhara mbona wazee wa zamani na hata wasasa wametumia pombe kwa kipindi kirefu na pia wameishi kwa kipindi kirefu?

BANGI: Hii nayo inapigwa marufuku na watu wengi sana wakisema inaharibu akili,
lakini chakushangaza wale watu waliotumia wengi ni wenye maneno ya busara, wametoa ukombozi katika mataifa yao mfano Che guevara, Obama,

Wamefanikiwa sana katika maisha yao, na wengine wamejikusanyia mashabiki wengi duniani kutokana na vipaji vyao mf. Bob marley.
SASA UNAJIULIZA MBONA VITU VINAVYOONGELEWA VIKO TOFAUTI NA UHALISIA?
Yapo mambo mengi yenye utata lakini naomba tuyajadili hayo kwanza.
Hata papuchika inapigwa vita sana. Fikiria kwanini
 
Mkuu usijaribu kujiingiza kwenye jambo ambalo watu walitumialo jambo hilo hujitahidi kutoka lakini wanashindwa.
Uko sahihi kabisa Mkuu,kuna watu Sigara zinawatesa lakini ni ngumu kwao kuacha kuzivuta coz wamekua tayari ni addicted,hakuna mvuta Sigara asiyejua madhara ya Sigara!

Kuna watu wamekua ni watumwa wa Pombe lakini wameshindwa kuziacha! Zipo thread nyingi tu humu JF watu wakitaka ushauri jinsi ya kuacha pombe na sigara, kua muangalifu sana unapotaka kufanya jambo,usidanganyike na muonekano wa nje wa watu.
 
Madhara yapo tena makubwa sana na yanaua mamilioni ya watu kila mwaka - Hayapigwi marufuku kwasababu yameshakuwa biashara kubwa ndio maana unawekewa tahadhari tu - Tembelea mahospitalini uone watu wanavyosuffer kwa kansa za Mapafu na TB kwasababu za sigara, unaposema bange huoni akili za wavutaji zinavyokuwaga - hili halihitaji utaalamu wowote
Kuna haja gani yakuweka tahadhari kwa kitu chenye madhara?, kwanini kisiteketezwe tu? Kama ni biashara kubwa basi haina mantiki. Kama ni hivo basi hata bange, unga ngada vyote ni biashara kubwa sana ya mabilioni kama Pombe na sigara, je ni halali kuidhinisha matumizi yake ila tuweke tu tahadhari kwa watumiaji?
 
Back
Top Bottom