Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
Kweli Mkuu.Uko sahihi kabisa Mkuu,kuna watu Sigara zinawatesa lakini ni ngumu kwao kuacha kuzivuta coz wamekua tayari ni addicted,hakuna mvuta Sigara asiyejua madhara ya Sigara!
Kuna watu wamekua ni watumwa wa Pombe lakini wameshindwa kuziacha! Zipo thread nyingi tu humu JF watu wakitaka ushauri jinsi ya kuacha pombe na sigara, kua muangalifu sana unapotaka kufanya jambo,usidanganyike na muonekano wa nje wa watu.
Jamaa asihadaike na kuwaka waka kwa chatu asijue anawindwa ili amezwe