Yani jamani nina uwezo darasani lakini nakutwa na hali ya kukata kata tamaa tu hii hali inanifanya nikiingia kwenye mitihani nakuwa napanic mf kuna mtihani nilikuwa na uwezo wa kupata 15 ya 15 lakini hadi nimejikuta nimepata 11 ya 15 nifanyeje jamani hii hali siitaki ya kukata tamaa nataka kusoma jamani.