mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
mwingine juzi kajichanganya kama alivyokuwa akiimba mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23].
kaombwa udhuru wa kupungukiwa nauli konda kakaza,anataka hela yake yote 500,jamaa alivyoona haeleweki ikabidi,atoe 10000.konda akakata buku,kuulizwa anasema jamaa msumbufu.
jamaa kumbe ni mwanajeshi kaenda kujiandaa akamsubiri konda trip ya pili akamshika,kumpeleka kambini.
jamaa kaimba sana mixer kuogelea kwenye tope na uniform zake hoii[emoji23][emoji23][emoji23].
huu mji bana,unawezatolewa upepo mpaka ukaanza kuwaza sijui umuue mhusika,sema kuna jera[emoji23].
-------------------------------------
Binafsi nilikuwa nimekaa kijiweni na jamaa kibao,sasa nikapigiwa simu ghafla na jamaa mmoja tulikuwa tumepanga jambo muhimu sana,kwaba nifike sehemu husika haraka sana.
nikanyanyuka nikiwa na kumbukumbu kwamba nina 5000 mfukoni,imefika muda naitishwa nauli search kila mfuko holaaa,geuza mpaka kasha la simu,bila bila.nikaona dah hiki kimbembe.
nikamwambia konda aisee nimedondosha nauli,akaanza shombo kabla sijamaliza,nikamtilia vinegar namimi."mbona unadakia sijamaliza"
utanisubiri kituoni nikatoe kwa wakala nikupe,hapo ndio akakausha[emoji16][emoji16][emoji16].
ila jamani hakikisha pesa unazigawanya kwenye nguo,sio unarundika mfuko mmoja,hii dhahma isikie kwa mwingine tu.
kaombwa udhuru wa kupungukiwa nauli konda kakaza,anataka hela yake yote 500,jamaa alivyoona haeleweki ikabidi,atoe 10000.konda akakata buku,kuulizwa anasema jamaa msumbufu.
jamaa kumbe ni mwanajeshi kaenda kujiandaa akamsubiri konda trip ya pili akamshika,kumpeleka kambini.
jamaa kaimba sana mixer kuogelea kwenye tope na uniform zake hoii[emoji23][emoji23][emoji23].
huu mji bana,unawezatolewa upepo mpaka ukaanza kuwaza sijui umuue mhusika,sema kuna jera[emoji23].
-------------------------------------
Binafsi nilikuwa nimekaa kijiweni na jamaa kibao,sasa nikapigiwa simu ghafla na jamaa mmoja tulikuwa tumepanga jambo muhimu sana,kwaba nifike sehemu husika haraka sana.
nikanyanyuka nikiwa na kumbukumbu kwamba nina 5000 mfukoni,imefika muda naitishwa nauli search kila mfuko holaaa,geuza mpaka kasha la simu,bila bila.nikaona dah hiki kimbembe.
nikamwambia konda aisee nimedondosha nauli,akaanza shombo kabla sijamaliza,nikamtilia vinegar namimi."mbona unadakia sijamaliza"
utanisubiri kituoni nikatoe kwa wakala nikupe,hapo ndio akakausha[emoji16][emoji16][emoji16].
ila jamani hakikisha pesa unazigawanya kwenye nguo,sio unarundika mfuko mmoja,hii dhahma isikie kwa mwingine tu.