Rweyemam105
Member
- Sep 8, 2012
- 88
- 112
Hallo wana JF!?
Ulishawahi patwa na dharura ya kutaka kuchimba dawa pindi uwapo Bank unataka Ku deposit muamala wako!? Je! Kuna Bank yoyote iliyowahi kukupa hii huduma hata kama wewe ni VIP wao!?
Kingine, kinachoniudhi, ni pale unaweza ukawa upo Bank, unapigiwa na mtu ambaye mnataka ku finalise deal la hela, kisha anakuja askari anakwambia, zima simu. Huku wale wanaochati wakiendelea kuchati. Does it make sense kwenu !? Hii Idea ya kutokuongea na simu uwapo Bank ishapitwa na wakati.
Kwani wameajiri walinzi wa kazi gani!?
Watu wakitaka kukupiga wanaweza pia kutumia njia ya charting ambayo wewe huitilii maanani.
Bank tubadilike. Tutoe huduma muhimu kama kuchimba dawa kwa wateja wetu, hata ikiwezekana chai, kahawa, wifi, maji ya kunywa bure kwa wateja wenu, kwani unakuta mnamshikilia mteja zaidi ya masaa 2 hadi 3 wakati mwingine.
Mm yangu ni hayo tu. Kama kuna kero nyingine kwenye taasisi za Bank naomba tuziainishe ili kuleta Ufanisi.
Ulishawahi patwa na dharura ya kutaka kuchimba dawa pindi uwapo Bank unataka Ku deposit muamala wako!? Je! Kuna Bank yoyote iliyowahi kukupa hii huduma hata kama wewe ni VIP wao!?
Kingine, kinachoniudhi, ni pale unaweza ukawa upo Bank, unapigiwa na mtu ambaye mnataka ku finalise deal la hela, kisha anakuja askari anakwambia, zima simu. Huku wale wanaochati wakiendelea kuchati. Does it make sense kwenu !? Hii Idea ya kutokuongea na simu uwapo Bank ishapitwa na wakati.
Kwani wameajiri walinzi wa kazi gani!?
Watu wakitaka kukupiga wanaweza pia kutumia njia ya charting ambayo wewe huitilii maanani.
Bank tubadilike. Tutoe huduma muhimu kama kuchimba dawa kwa wateja wetu, hata ikiwezekana chai, kahawa, wifi, maji ya kunywa bure kwa wateja wenu, kwani unakuta mnamshikilia mteja zaidi ya masaa 2 hadi 3 wakati mwingine.
Mm yangu ni hayo tu. Kama kuna kero nyingine kwenye taasisi za Bank naomba tuziainishe ili kuleta Ufanisi.