Hivi ungefanyaje

Hivi ungefanyaje

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
4,800
Reaction score
8,986
Unampenzi wako mmeaminiana mkapeana ufunguo wako wanyumba sasa kuna siku hajakitaarifu kakununulia gari kaona aje akusuprise . Kufungua mlango akakukuta nyumbani na mwanamke mwingine mkiwa katikati ya mahaba yenu.

Na hakuja mwenyewe alikuja na familia yako na marafiki hii ingekuwa wewe ungefanyaje??
Huyo uliyekutwa naye hana hela wala juhudi yeyote umemlipa ili upige shoo. Huyo aliyekufumania ndio alikuwa wakwako wa matarajio ya mbeleni
 
Unampenzi wako mmeaminiana mkapeana ufunguo wako wanyumba sasa kuna siku hajakitaarifu kakununulia gari kaona aje akusuprise . Kufungua mlango akakukuta nyumbani na mwanamke mwingine mkiwa katikati ya mahaba yenu.

Na hakuja mwenyewe alikuja na familia yako na marafiki hii ingekuwa wewe ungefanyaje??
Huyo uliyekutwa naye hana hela wala juhudi yeyote umemlipa ili upige shoo. Huyo aliyekufumania ndio alikuwa wakwako wa matarajio ya mbeleni
Hii ni hapa hapa bongo kwamba kuna wanawake mnanunulia wapenzi wenu magari?
 
Unampenzi wako mmeaminiana mkapeana ufunguo wako wanyumba sasa kuna siku hajakitaarifu kakununulia gari kaona aje akusuprise . Kufungua mlango akakukuta nyumbani na mwanamke mwingine mkiwa katikati ya mahaba yenu.

Na hakuja mwenyewe alikuja na familia yako na marafiki hii ingekuwa wewe ungefanyaje??
Huyo uliyekutwa naye hana hela wala juhudi yeyote umemlipa ili upige shoo. Huyo aliyekufumania ndio alikuwa wakwako wa matarajio ya mbeleni
Utakojoa kitandani acha ndoto nyevu
 
Unampenzi wako mmeaminiana mkapeana ufunguo wako wanyumba sasa kuna siku hajakitaarifu kakununulia gari kaona aje akusuprise . Kufungua mlango akakukuta nyumbani na mwanamke mwingine mkiwa katikati ya mahaba yenu.

Na hakuja mwenyewe alikuja na familia yako na marafiki hii ingekuwa wewe ungefanyaje??
Huyo uliyekutwa naye hana hela wala juhudi yeyote umemlipa ili upige shoo. Huyo aliyekufumania ndio alikuwa wakwako wa matarajio ya mbeleni
Hapo ni kuwa miti yote imeteleza na kifo cha nyani kimewadia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom