lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,151
- 33,335
Tangu utoto wake amekua akipigania haki,
Aliwatetaa watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia,kupisha uchimbaji madini.
Aliwatetaa watu ambao ndugu zao walizikwa hai,ili wapate Haki zao,
Aliwatetaa waliofungwa watu zaidi ya 400 waliofungwa kionevu,kiss mgogoro wa wawekezaji wa madini,wengi aliwatoa bure,hawakua na uwezo kifedha,
Hayo Ni mengi,tutayajadili mbele.
Leo hii mtu huyo anagombea urais.
Sasa utaachaje kumchagua mtu anaeahidi
Bima ya afya kwa watu wote,
Kodi rafiki kwa wafanyabiashara,
Nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi sekta za Uma na binafsi,
Fidia kwa wafanyakazi kwa kunyima nyongeza miaka mitano,
Kuondoa vizingiti kwa wakulima ,ili kila mkulima awe huru kuuza ma,ao yake popote kwa Bei anayo taka,
Kurudisha riba ya awali kwa mikopo ya wanachuo,
Waliobomolewa kionevu kufidiwa,
Wanajeshi,Polisi,Tiss,Magereza,na mgambo kuongozwa mishahara na kutokushushwa vyeo,licha ya kumlinda jiwe,
Atashusha Bei za vifaa vya ujenzi,ili watu wawe na makazi Bora,
Wanaotaka kwenda nje kutafuta maisha kupata pass itakua rahisi,
Vitambuliaho vya machinga kuondolewa,
Kwangu Mimi Ni mwisho,unaweza kuongeza yako,lakini kubwa kuliko yote Ni kutumika katiba Pendekezwa na kamati ya Jaji Warioba,hapa ndio suluhisho la matatazo yooote nchi hi.
Kwa hayo machache Ni Nani mwenye Roho Safi,akili timamu na upendo kwa nchi na wananchi ataacha kumpigia kura mtu huyu?
Namaanisha kumchagua TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU kuwa Rais wa Tanzania.
Ni mpenda Haki,
Mtanzania mwenzetu,
Ana Roho ya upendo na huruma,
Hapendi kuonea,Wala kuona mtu akionewa,
Mstaarabu,
Hana dharau,
Hana kiburi,
Hana visasi,
Hana kinyongo,
Hawezi kudhalilisha walio chini yake,
Anasikiliza ushauri,anashaurika anapenda kushauriwa,na hufanyika kazi ushauri baada ya kujiridhisha,
Ni mwanasheria,hivyo ataongoza nchi kwa utawala wa sheria ,sio amri,utashi binafsi au ubabe.
VOTE FOR LISSU 2020
Aliwatetaa watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia,kupisha uchimbaji madini.
Aliwatetaa watu ambao ndugu zao walizikwa hai,ili wapate Haki zao,
Aliwatetaa waliofungwa watu zaidi ya 400 waliofungwa kionevu,kiss mgogoro wa wawekezaji wa madini,wengi aliwatoa bure,hawakua na uwezo kifedha,
Hayo Ni mengi,tutayajadili mbele.
Leo hii mtu huyo anagombea urais.
Sasa utaachaje kumchagua mtu anaeahidi
Bima ya afya kwa watu wote,
Kodi rafiki kwa wafanyabiashara,
Nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi sekta za Uma na binafsi,
Fidia kwa wafanyakazi kwa kunyima nyongeza miaka mitano,
Kuondoa vizingiti kwa wakulima ,ili kila mkulima awe huru kuuza ma,ao yake popote kwa Bei anayo taka,
Kurudisha riba ya awali kwa mikopo ya wanachuo,
Waliobomolewa kionevu kufidiwa,
Wanajeshi,Polisi,Tiss,Magereza,na mgambo kuongozwa mishahara na kutokushushwa vyeo,licha ya kumlinda jiwe,
Atashusha Bei za vifaa vya ujenzi,ili watu wawe na makazi Bora,
Wanaotaka kwenda nje kutafuta maisha kupata pass itakua rahisi,
Vitambuliaho vya machinga kuondolewa,
Kwangu Mimi Ni mwisho,unaweza kuongeza yako,lakini kubwa kuliko yote Ni kutumika katiba Pendekezwa na kamati ya Jaji Warioba,hapa ndio suluhisho la matatazo yooote nchi hi.
Kwa hayo machache Ni Nani mwenye Roho Safi,akili timamu na upendo kwa nchi na wananchi ataacha kumpigia kura mtu huyu?
Namaanisha kumchagua TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU kuwa Rais wa Tanzania.
Ni mpenda Haki,
Mtanzania mwenzetu,
Ana Roho ya upendo na huruma,
Hapendi kuonea,Wala kuona mtu akionewa,
Mstaarabu,
Hana dharau,
Hana kiburi,
Hana visasi,
Hana kinyongo,
Hawezi kudhalilisha walio chini yake,
Anasikiliza ushauri,anashaurika anapenda kushauriwa,na hufanyika kazi ushauri baada ya kujiridhisha,
Ni mwanasheria,hivyo ataongoza nchi kwa utawala wa sheria ,sio amri,utashi binafsi au ubabe.
VOTE FOR LISSU 2020