Kwa hali ya sasa pesa inatangulizwa sana katika mapenzi japo kwa kununua soda au zawadi ndogo au kuweka Vocha kupiga simu.Unaweza kumpa mpenzi kwa sasa kwa kuongea tu bila kutumia fedha?
Kwa hali ya sasa pesa inatangulizwa sana katika mapenzi japo kwa kununua soda au zawadi ndogo au kuweka Vocha kupiga simu.Unaweza kumpa mpenzi kwa sasa kwa kuongea tu bila kutumia fedha?
Kwa hiyo ndio kusema kama huna fedha ndio basi tena kwa mapenzi?Ndugu zanguni mwanamke ni bidhaa adimu hujawahi sikia hivyo!!kama wewe huwezi tumia hela kumhandle umekwisha watakutafunia mpaka ukome na ubahiri wako.
Mbona kuna jamii ukimhonga mwanamke anaona kama umemdharau,hivyo unamnunua,hiyo imekaaje?Huwezi kumpata labda utupe mbinu!!yaani hata messagi usitume.hii sijawahi sikia kwa kweli.
Kwa hiyo ndio kusema kama huna fedha ndio basi tena kwa mapenzi?
Mkuu huwezi yaani nakataa kata kata waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi.
Anaye bisha jaribu kumtokea mrembo omba namba zake za cmu kisha uwe una mbipu akupigie umtongoze uone kama itawezekana....
Andika maumivu tu hapo! Ila akibipu yeye wewe piga na mwengezee salio.....lazima uingie Uvinza na kujiexpress!
No, huwezi kupata mazee..Hivi yaonekana huijui vyema dhana ya uwekezaji..Hivi toka lini visivyopandwa vikavunwa?
hahahaha hata wao wanapo mtongoza mwanaume wanatumia pesa kukushawishi uingie kwenye anga zake.