​Kuna men tulikuwa tunadate ikatokea misunderstanding, yeye ni mwanachuo bado na mimi ni graduate ofcourse sija Do nae as i said in previous topic i posted na tulibrake baada ya yeye kuonyesha ajajipanga time will tell!! problem ni kwamba nimejitahidi nimsahau kwa kuwa na watu wengine,nikaamua kukubalia Anatha man lakini sijiskii furaha ya ukweli is like iam forcing my self! nashangaa why to this man maana before nillishabrake na mwingine sikupata hii shida, na huyu pia siku Do nae! lakini iyo sio isu nimeshangaa zaidi hii ni mara ya tatu sasa namuota huyu men, yaani jana nimeota nilikua nimeleta anatha guy kumu introduce home alafu mama yangu akawa anaongea na yule men wa kwanza hivi, dont worry wewe ndo muhusika i will work on it, huyu hatuta mkubalia!.. niliposhtuka nilishangaa sana maana i had ever think about that! ushauri pls!