Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Oct 20, 2012 #2 mirindimo said: View attachment 68822 pRETA na wadada wengine hata wakaka huyu jamaa yuko serious..? Click to expand... Unamtaja Preta kuwa jamaa yupo serious kwa lipi sasa???? Hapa ni kama hujamtendea haki dada yangu Preta kumtaja katika uzi huu. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mirindimo said: View attachment 68822 pRETA na wadada wengine hata wakaka huyu jamaa yuko serious..? Click to expand... Unamtaja Preta kuwa jamaa yupo serious kwa lipi sasa???? Hapa ni kama hujamtendea haki dada yangu Preta kumtaja katika uzi huu.
KakaJambazi JF-Expert Member Jun 5, 2009 18,711 12,067 Oct 20, 2012 #3 Sa unawataja hao wanini au unajipendekeza uje upewe siku moja kipochi manyoya? Pm inakazi gani?!
Nicole JF-Expert Member Sep 7, 2012 4,274 2,514 Oct 20, 2012 #4 Dogo anaonekana mgonjwa huoni alivyopoz kwa photo,hata ng'ombe katulia sijui anaenjoy au inakuwaje!
mirindimo JF-Expert Member Nov 2, 2009 821 1,343 Oct 20, 2012 Thread starter #5 Mzee wa Rula said: Unamtaja Preta kuwa jamaa yupo serious kwa lipi sasa???? Hapa ni kama hujamtendea haki dada yangu Preta kumtaja katika uzi huu. Click to expand... Nimerekebisha kauli mkuu
Mzee wa Rula said: Unamtaja Preta kuwa jamaa yupo serious kwa lipi sasa???? Hapa ni kama hujamtendea haki dada yangu Preta kumtaja katika uzi huu. Click to expand... Nimerekebisha kauli mkuu
mirindimo JF-Expert Member Nov 2, 2009 821 1,343 Oct 20, 2012 Thread starter #6 KakaJambazi said: Sa unawataja hao wanini au unajipendekeza uje upewe siku moja kipochi manyoya? Pm inakazi gani?! Click to expand... mmmm kakaJambazi nawe.....nsharekebisha hajipenedekezi mtu hapa
KakaJambazi said: Sa unawataja hao wanini au unajipendekeza uje upewe siku moja kipochi manyoya? Pm inakazi gani?! Click to expand... mmmm kakaJambazi nawe.....nsharekebisha hajipenedekezi mtu hapa