Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,383
Inasikitisha Sana, hii ni thread inawahusu wasafiri, kama wewe si mtu wa safari skip pls.
Kuna mjinga mmoja Mtanzania New York Kwa kujuwa au kutokujuwa au kutafuta umaarufu kunuka anataka kuleta shida kubwa Sana.
EBM Yuko very smart, anafundisha njia halali za kuingia Marekani na kufanyakazi Marekani na pia Kwa wanaotaka rotary Viza anatowa huduma ya kuwajazia fomu.
Tatizo langu kuna mshamba mmoja New York aliyetokea mashambani Tanzania hajui madhara ya anachokifanya kuendesha mahojiano na wapumbavu wenzake kutowa code ambazo NI wasafiri tu ndio wanapaswa kuzijuwa, na kama wewe ni msafiri zipo channel sahihi za wewe kupata information zote
Huyu Jamaa hana akili kichwani.
Cc; Nyani Ngabu Kiranga
Kuna mjinga mmoja Mtanzania New York Kwa kujuwa au kutokujuwa au kutafuta umaarufu kunuka anataka kuleta shida kubwa Sana.
EBM Yuko very smart, anafundisha njia halali za kuingia Marekani na kufanyakazi Marekani na pia Kwa wanaotaka rotary Viza anatowa huduma ya kuwajazia fomu.
Tatizo langu kuna mshamba mmoja New York aliyetokea mashambani Tanzania hajui madhara ya anachokifanya kuendesha mahojiano na wapumbavu wenzake kutowa code ambazo NI wasafiri tu ndio wanapaswa kuzijuwa, na kama wewe ni msafiri zipo channel sahihi za wewe kupata information zote
Huyu Jamaa hana akili kichwani.
Cc; Nyani Ngabu Kiranga