Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,719
Nimeamua kuuliza swali hilo hivyo, si kwakua ninadharua rangi yangu lakini ni kitu ambacho kimenipa hasira sana.
Nimekua na relationships za kutosha mpaka sasa nilipoamua kutulia. Kati ya vitu ambavyo nime notice ni kua wa afrika hupenda zaidi kuingilia mapenzi ya watu wawili na kumwaga sumu za umbea na unafiki kwa nia ya kuharibu relationship.
Nikafikiria mbona when I was dating other nationalities kitu kama hio hakuna. Japanese, Whites, Chinese hata arabs na indians to a lesser extent hawana tabia za kuzusha uongo kwa wapendanao ili kuharibu relationship, zaidi mwanamke atajirahisisha na kukutongoza kivyake sio kwa kumharibia mwenzake.
Kuna ma best friend kibao wanamfwata girl wangu na kuongea mambo yasiyo kweli, other bitches way below my standards and league nao wanatafuta jinsi ya kuharibu wakati hata nikiachana na mpenzi wangu siwezi hata kufikiria kuwatongoza.
At times I see no reason why people decide to ruin a persons relationship.
IS THIS NEGATIVE AND DESTRUCTIVE BEHAVIOUR AN AFRICAN THING.
Nimekua na relationships za kutosha mpaka sasa nilipoamua kutulia. Kati ya vitu ambavyo nime notice ni kua wa afrika hupenda zaidi kuingilia mapenzi ya watu wawili na kumwaga sumu za umbea na unafiki kwa nia ya kuharibu relationship.
Nikafikiria mbona when I was dating other nationalities kitu kama hio hakuna. Japanese, Whites, Chinese hata arabs na indians to a lesser extent hawana tabia za kuzusha uongo kwa wapendanao ili kuharibu relationship, zaidi mwanamke atajirahisisha na kukutongoza kivyake sio kwa kumharibia mwenzake.
Kuna ma best friend kibao wanamfwata girl wangu na kuongea mambo yasiyo kweli, other bitches way below my standards and league nao wanatafuta jinsi ya kuharibu wakati hata nikiachana na mpenzi wangu siwezi hata kufikiria kuwatongoza.
At times I see no reason why people decide to ruin a persons relationship.
IS THIS NEGATIVE AND DESTRUCTIVE BEHAVIOUR AN AFRICAN THING.