Hivi umaarufu na uigizaji wapi na wapi

Hivi umaarufu na uigizaji wapi na wapi

yangoma

Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
72
Reaction score
2
wana jf habari zenu mimi ninataka kuzungumzia hili suala la muvi zetu. hivi karibuni nimejalibu kuangalia muvi kazaa na kuona
washiliki waliopo humo hawana sifa zozote za uigizaji, eti kisa ni umaarufu wamewekwa kama mauzo ya film wakati hawana uhalisia wala talent hususani wauza sura wengi ni wanamuziki na miss vitongoji hawa watu wanaboa sana maana hakuna chochote kinachoonekana zaidi ya maonyesho ya mavazi na kiingereza chao cha tution. naomba ufafanuzi katika hili waelimishwe
hawa watu wana uelewa mdogo mno nawasilisha
 
Me hata video zao huwa siangalii kwa sababu hazina mvuto,kuigiza hawajui hazina ujumbe wowote zaidi ya mapenzi,na zinadumaza sana akili za watu hasa watoto na wanawake,HIVI HUWA WANAIGIZA BULE AU WANALIPWA?hawako serious na wanachokifanya wanachokifanya.
 
Me hata video zao huwa siangalii kwa sababu hazina mvuto,kuigiza hawajui hazina ujumbe wowote zaidi ya mapenzi,na zinadumaza sana akili za watu hasa watoto na wanawake,HIVI HUWA WANAIGIZA BULE AU WANALIPWA?hawako serious na wanachokifanya wanachokifanya.
sizani kima malipo basi nikidogo mno
 
Mimi niliwahi kuangalia "My dreams"nilijilaumu.mimi nilishaacha kuangalia.yaani ni ubishow mtupu
 
Ziko direct sana.Je kwa kuangalia CV za waigizaji wetu kuna mtu ana hata diploma ya sanaa?Maana kiniangalia wengi wakiulizwa wanasema ni kipaji tu.Na mara nyingi niona picha zao ni kukopi na kupesti.Nimeisha kutana na waigizaji wa hapo Tz wananunua movie za Naijeria,walipoondoka na mimi nikanunua the same movie baada ya miezi miwili walitoa copy kati ya hizo lakini haikuwa nzuri kama ili ya Naijeria.
 
Back
Top Bottom