ebwana wee siku hizi naona kwamba most ladies ukiwagusa wanakwambia kuwa ana bf au just from a relationship. sasa wewe kama ndio unaingia kwenye mahusiano ulishawahi kujiuliza uhusano wa mwhisho wa huyo mwanamke kweli uliisha on gud terms ama vipi? je kama bado kuna mafeelings hapo niaje?