M Muite JF-Expert Member Sep 10, 2013 2,366 4,901 Aug 10, 2023 #1 Nijijibu mwenyewe kuwa ukubwa wa timu ya Azam UPO KWENYE RASILIMALI HASA KIWANJA, TV NA VIWANDA NA WALA SIO UWANJANI. Uwanjani Timu ya Azam ni sawa tu na Coastal Union, Moro Utd, Mtibwa , Ruvu shooting nk
Nijijibu mwenyewe kuwa ukubwa wa timu ya Azam UPO KWENYE RASILIMALI HASA KIWANJA, TV NA VIWANDA NA WALA SIO UWANJANI. Uwanjani Timu ya Azam ni sawa tu na Coastal Union, Moro Utd, Mtibwa , Ruvu shooting nk
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 64,021 114,292 Aug 10, 2023 #3 Bongo timu ni yanga tu, hivyo vingine ni vikundi vya wapasha viungo
Kaka yake shetani JF-Expert Member Feb 1, 2023 3,726 8,974 Aug 10, 2023 #4 Ukubwa wa azam ni wenye njaa kujinufaisha maana kinachofanyika hapo. Wachezaji ndoto zao simba na yanga. Azam ni sehemu ya maokoto
Ukubwa wa azam ni wenye njaa kujinufaisha maana kinachofanyika hapo. Wachezaji ndoto zao simba na yanga. Azam ni sehemu ya maokoto
mkale JF-Expert Member Sep 21, 2011 1,590 1,696 Aug 10, 2023 #5 mental block inawasumbua.. wawe na dira kwenye soka la bongo.. watatoboa tu.